Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

vidili vyaooo vingii vonapigwaa KWENYE VIBANDA Fulani VYA soda na cake mle NDAN weee
 
vidili vyaooo vingii vonapigwaa KWENYE VIBANDA Fulani VYA soda na cake mle NDAN weee
Mpwa yule alingiaga kwnye 18 zngu
Nlimchezeaa mchezoo alifurahiiiii
Akaja kupewa cv a kaambiwa wale huwa wezi wale tokea Enzi za azam na salamander kitambooo utaawambiaa nn
Alikuwa akinipeleka huku nampeleka kuleee
Akasema Kweli nmekutana na mshineee
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpwa yule alingiaga kwnye 18 zngu
Nlimchezeaa mchezoo alifurahiiiii
Akaja kupewa cv a kaambiwa wale huwa wezi wale tokea Enzi za azam na salamander kitambooo utaawambiaa nn
Alikuwa akinipeleka huku nampeleka kuleee
Akasema Kweli nmekutana na mshineee
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaa zakeeee kakanyagaa chakaa zamuyakee Wale mab...anaowategemeaa wamsaidiee
 
wakuu Heshima kwenu Nyote.

Ningependa kuagiza gari dogo Toyota Ist ya mwaka 2005, ambayo Bei yake CIF ni dollar 2880 sawa na kama 6.7M hiv...

sasa ningependa kujua je ushuru wa TRA utabaki ule ule kama calculator ya TRA inavyosema 4.8M au utazidi? na kama utazidi unaweza kuzidi kiasi gani hiv kwa makadirio..?

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nnavojua mimi lengo mojawapo la kuweka ushuru ni kufanya watu waagize magari mapya mengi kuliko used. Lakini mbona ukiagiza gari jipya ushuru wake unakuta ni mwingi zaidi tena sana kuliko wa used. Kuna umuhimu wa kikokotozi chetu cha kodi kufanyiwa marekebisho ili wanao agiza gari mpya kodi iwe nafuu kuliko used hili litasaidia sana kuinua uchumi na kupunguza ajali
 
Nnavojua mimi lengo mojawapo la kuweka ushuru ni kufanya watu waagize magari mapya mengi kuliko used. Lakini mbona ukiagiza gari jipya ushuru wake unakuta ni mwingi zaidi tena sana kuliko wa used. Kuna umuhimu wa kikokotozi chetu cha kodi kufanyiwa marekebisho ili wanao agiza gari mpya kodi iwe nafuu kuliko used hili litasaidia sana kuinua uchumi na kupunguza ajali
Ukisikia bado tunatawaliwa ndo hiyo, nchi zilizoendelea hawatokubali, hii haina tofauti na ushoga, mitumba, watoto wa kike kuendelea na masomo wakati wanamimba, kiongozi yeyote ajitokeze kupiga marufuku uone kitakachotokea.
 
Ukisikia bado tunatawaliwa ndo hiyo, nchi zilizoendelea hawatokubali, hii haina tofauti na ushoga, mitumba, watoto wa kike kuendelea na masomo wakati wanamimba, kiongozi yeyote ajitokeze kupiga marufuku uone kitakachotokea.
Washapinga sana
 
Nnavojua mimi lengo mojawapo la kuweka ushuru ni kufanya watu waagize magari mapya mengi kuliko used. Lakini mbona ukiagiza gari jipya ushuru wake unakuta ni mwingi zaidi tena sana kuliko wa used. Kuna umuhimu wa kikokotozi chetu cha kodi kufanyiwa marekebisho ili wanao agiza gari mpya kodi iwe nafuu kuliko used hili litasaidia sana kuinua uchumi na kupunguza ajali
Mkuu, kinachosababisha kodi ya gari jipya inakuwa juu hasa ni kiasi cha CIF. Ila uwiano wa kodi ni kidogo kulinganisha na gari used. Sema vile used cars zinakiwa na CIF ndogo ndio maana tunahisi kodi yake ni kidogo pia.
 
Mkuu, kinachosababisha kodi ya gari jipya inakuwa juu hasa ni kiasi cha CIF. Ila uwiano wa kodi ni kidogo kulinganisha na gari used. Sema vile used cars zinakiwa na CIF ndogo ndio maana tunahisi kodi yake ni kidogo pia.
Pamoja na kutumia CIF ila kwanini kusiwe na punguzo jinsi gari linavokua jipya. Mfano gari ikizidi miaka kumi kodi ni 90% ya cif na cc zikizidi #### sasa kuwepo pia na punguzo kwa gari iliyo chini ya miaka hata 2 ya 90% ili tuweze kumiliki magari yenye ubora hasa upande wa public transport
 
Sio kweli TRA wanafuata calculator yao inavyosema
Trust me huwa hawafuati kabisaaa.
Kama ukitaka kuamini nenda kaangalie pg 2 ya assessment document yako.
1. Import duty = cif × 25%
2. Excise duty = (import duty + cif) × 5%
3. Excise duty due to age= (import duty + cif) × 30%
4. Vehicle registration = 450000 tsh
5. Railway revi = cif × 1.5%
6. Custom process fee = fob × 0.6 %
7. Vat = (all of taxes above + cif) × 18%

Hayo ndo mahesabu ambayo hata kwenye kikokotozi chao yapo
 
Back
Top Bottom