Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo walinieleza, tatizo hata hiyo theluthi ninayotakiwa kulipa ili suala langu lisikilizwe kwa kamishna sina, maana ni 15.1 million, ni parefu sana kwangu ndugu yangu.nijuavyo mimi,unaandika barua kwa kamishna general kuomba mapitio mapya ya assessments ya makadirio yako,muda huo huo unatakiwa kuwa umelipa theluth moja ya ulichokadiriwa then mkishindwana ndio mnapelekana Kwenye court of arbitration.
Jamaa inaonekana wanataka rushwa. Baada ya kusikiliza kile kisa cha mfanyabiashara wa Kariakoo aliyeharibiwa mali zake na TRA na rais kuamuru alipwe halafu wakawa wanamzungusha na kutaka kumuua nimegundua TRA wafanyakazi wengi ni wezi. Hakuna cha kodi wala nini wanachotaka ni rushwa. I wish rais avunje TRA na waliopo waondolewa wote na kuanza kuundwa mpya yenye wafanyakazi wapya. Wakikuletea ujinga fanya taratibu z kampuni kuwa mufilisi. Ukitaka kuanzisha nyingine kuna mbinu nyingi tu za kufanya. Na mbaya zaidi hata ukienda kwa mawakili nao unaweza kukuta unaingia gharama ambayo huwezi kuilipa. Plole sana ndugu yangu.Hilo walinieleza, tatizo hata hiyo theluthi ninayotakiwa kulipa ili suala langu lisikilizwe kwa kamishna sina, maana ni 15.1 million, ni parefu sana kwangu ndugu yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app