Uzi Maalum wa Uhamisho wa watumishi kubadilishana kituo cha kazi

Uzi Maalum wa Uhamisho wa watumishi kubadilishana kituo cha kazi

Habari,

Natafuta mtu wa kubadilishana nae uhamisho, mimi ni mtumishi wa mahakama mkoa wa Mara kwa kitengo cha RMA (Records Management Assisstant), nahitaji kuhama kwa kubadilishana na mtumishi wa kada hiyo kwa mkoa wowote wa kusini au nyanda za juu kusini au kanda ya kati au kanda ya mashariki au kanda ya kaskazini mashariki. Kwa yeyote aliye tayari kuja huku na mimi nije huko naomba aje inbox tuwasiliane.

Asanteni
umejaribu kuomba nafasi mkuu kwenye taasisi unakotaka kwenda?Kama wana nafasi sidhan kama kuna ulazima wa kutafuta wa kubadilishana nae.Uhamisho wa kubadilishana vituo vya kazi upo sana sana TAMISEMI.
 
umejaribu kuomba nafasi mkuu kwenye taasisi unakotaka kwenda?Kama wana nafasi sidhan kama kuna ulazima wa kutafuta wa kubadilishana nae.Uhamisho wa kubadilishana vituo vya kazi upo sana sana TAMISEMI.
Niliomba kwenda taasisi nyingine , nikaambiwa niandike barua ila mwajiri lazima aipitishe na ikifika kwao wao watamaliza kila kitu hadi utumishi baada ya mwajiri wangu kupitisha, nilipoandika kwa mwajiri, ali-comment kuwa "asiondoke na akiondoka anaomba afanyiwe replacement" hivyo ilipofika makao makuu dar wakasema hawawezi kuruhusu kwa comment hiyo, njia nyingine waliyotoa ni hiyo ya kubadilishana. Huku kwenye idara za mahakama unapoomba uhamisho, barua inapita sehemu mbili, kwanza kwenye kituo unachofanyia kazi (mahakama za kanda) halafu inaenda makao makuu ya mahakama jijini dar es salaam, kwa hiyo huku barua ilitoka na hiyo comment na ilipofika dar nikaona kimya, kuuliza ndio wakanipa majibu hayo na arternative ya kufanya.
 
Nilimaanisha UTUMISHI

#YNWA
Utumishi hawana shida kama ukipata nafasi na sehemu nyingine na pia mwajiri wako akikuruhusu. Shida iliyopo ni kuwa mwajiri wangu amesema ili aniruhusu niondoke basi anataka afanyiwe replacement, kwa changamoto ni hiyo replacement.
 
Niliomba kwenda taasisi nyingine , nikaambiwa niandike barua ila mwajiri lazima aipitishe na ikifika kwao wao watamaliza kila kitu hadi utumishi baada ya mwajiri wangu kupitisha, nilipoandika kwa mwajiri, ali-comment kuwa "asiondoke na akiondoka anaomba afanyiwe replacement" hivyo ilipofika makao makuu dar wakasema hawawezi kuruhusu kwa comment hiyo, njia nyingine waliyotoa ni hiyo ya kubadilishana. Huku kwenye idara za mahakama unapoomba uhamisho, barua inapita sehemu mbili, kwanza kwenye kituo unachofanyia kazi (mahakama za kanda) halafu inaenda makao makuu ya mahakama jijini dar es salaam, kwa hiyo huku barua ilitoka na hiyo comment na ilipofika dar nikaona kimya, kuuliza ndio wakanipa majibu hayo na arternative ya kufanya.
Pole sana mkuu. Hii comment ya kuhitaji replacement ni common sana kwa maboss siku hizi kwenye barua unazopitisha kwao kuhama. Lengo lao ni kukuzuia usiondoke. Ni changamoto kwakweli. Jaribu kwenda kuongea na boss wako idarani hapo umueleze lengo la kutaka kuhama kama hukufanya hivyo. Ikishindikana endelea kupambana kutafuta wa kubadilishana nae. I hope utapata.
 
Pole sana mkuu. Hii comment ya kuhitaji replacement ni common sana kwa maboss siku hizi kwenye barua unazopitisha kwao kuhama. Lengo lao ni kukuzuia usiondoke. Ni changamoto kwakweli. Jaribu kwenda kuongea na boss wako idarani hapo umueleze lengo la kutaka kuhama kama hukufanya hivyo. Ikishindikana endelea kupambana kutafuta wa kubadilishana nae. I hope utapata.
Asante sana, ndio changamoto za maisha. Bosi wangu nilimueleza lakini akaniambia ana ufinyu wa watumishi, akinitoa, je kazi zangu zitafanywa na nani, ndio akanishauri hivyo kuwa nitafute wa kubadilishana nae. So nawaombeni kwa yeyote atakayepatikana tuwasiliane kwa private massage.
 
Mwalimu wa sekondari unaefundisha masomo ya arts, unayehitaji kuhamai Dodoma jiji kutoka moja kati ya maeneo haya:

*DSM-Temeke,

* Kibaha mji

* Mkuranga

Tuwasiliane 👇👇kuna mwalimu yupo Dodoma jiji, anatafuta wa kubadilishana nae.

Contact: 0789-65-62-65
 
Nipo huko kitambo, nako kuna changamoto zake Lukuki.
Hata hivyo Asante Kwa ushauri kiongozi🙏
 
Wakihama wote nani abaki sasa?
Badala ya kutoa maoni ya namna gani ya kuboresha hayo mapungufu ndo kwanza unataka kukimbia!!!
Au na huko unataka kupeleka hizo tabia za rushwa kama uluvyokuwa unahonga!!!!
 
Changamoto ni zakukabiliana nazo hakuna Panapo kosekana changamoto na kamwe huwaga hazikimbiwi umiza ndonga Tumia utashi ulijaaliwa kabiliana nazo Kwa Ufasaha,,ili uruhusu zingine ziendelee kuja na kutokeza zaidi!!
 
Wakuu habarini!

Mimi ni mtumishi moja ya halmashauri ya mkoa wa Njombe!
Wakuu hebu tupeane connection, michongo ya kuhama tutoke huku angalau tuhamie serikali kuu.
Hali ya halmashauri niliyopo inatisha Sana, watumishi wanaroho mbaya sijapata kuona, majungu mchana kweupe, uchonganishi na kuchomeana ili tu kujipendekeza kwa wakuu wa idara.
Huku ni mshahara wako tu, hakuna posho , hali inatisha. Nimeona ni wakati Sasa wa Mimi kutafuta changamoto mpya

Nimefanya kazi na vishoka wa tamisemi pasipo kujua, wakaniliza millioni 2 zaidi ya mara mbili kwa lengo la kunifanyia mpango nitoke huku, huwa sitaki Hata kukumbuka.

Karibuni wakuu!!
Mkuu
Hii tabia ya rushwa ni hovyo sana.
Huku nilipo tulipata watumishi kutoka halmashauri. Within no time wakaliwa vichwa kwa rushwa. Sisemi rushwa huku haipo au Tamisemi pekee ndio kuna rushwa.
Tuache tabia za hovyo
 
Habari ya majukumu wakuu.
Naomba mwenye kuwa na link ya askari wa.SUMA JKT GUARD.
 
Back
Top Bottom