Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,326
- Thread starter
-
- #181
Kunywa. K vant chupa ndogo na amarula kidogo. Ukienda kumla papuchi demu unammwagia wazungu balaa [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Wataalamu vipi wine kama St Anna ni nzuri kwa kuleta msisimko wa mapenzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
K vant hapana siiwezi ngoja wataalamu Wa wine wasemeKunywa. K vant chupa ndogo na amarula kidogo. Ukienda kumla papuchi demu unammwagia wazungu balaa [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Balimi ya mwanza inatengenezwa na mahindi. Ninavyosikia hii ya dsm inatengenezwa na mtama ndio maana za dsm za uchungu sana. Na ukiamka asubuhi unakuwa umechoka sana mkuu
Duuuh ilikuwa kali hiyo mkuuhahhaah cant wait demi ! mie sijui ilikuwaje mbeya.. nimeenda harusin na rafk angu yaan tulilewa na nikakamata usukan tunaingia tu getin hatukushuka! tukalala mle! na vile heka heka za harus hakuna aliyejua tupo kwa gari! siku ile mie nilizima!... ukuje tu!
Tuko pamoja mkuu wangu. [emoji106][emoji106][emoji106]Nakuona pia kiongozi...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] haya malizia fanta yako utupishe japo ushanitamanisha na hiyo painepo yako!Hahah.Nimekuja kuwajazia nzi na fanta painepo yangu
Thad upo mamito....? Habari za toka Easter....? Nilikuwa sikusomi ulikufia wapi....?[emoji23] [emoji23] [emoji23] haya malizia fanta yako utupishe japo ushanitamanisha na hiyo painepo yako!
Nipo best! Napambana na hali yangu.Thad upo mamito....? Habari za toka Easter....? Nilikuwa sikusomi ulikufia wapi....?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nialike tena kwenye kile kijiwe chako tulete mrejesho wa hii thread ....Nipo best! Napambana na hali yangu.
Za toka Easter njema sana!
Karibu sana best,ila angalia usije ukasahau njia ya kurudia kwako ulale njiani fofofo! [emoji12] [emoji12] [emoji12]Nialike tena kwenye kile kijiwe chako tulete mrejesho wa hii thread ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Maeneo ya huko kwako kuna nyumba tulikuwa tunaishi enzi za utoto kwahiyo mambo yakiwa magumu nitaswitch kwenda utoto nitavamia chumba chetu tulichokuwa tunalala enzi za mwalimuKaribu sana best,ila angalia usije ukasahau njia ya kurudia kwako ulale njiani fofofo! [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi, huku mtaani kwetu sio sawa na huko alikoenda jamaa......... Bora ulale kaunta kukicha utaikumbuka njia.Maeneo ya huko kwako kuna nyumba tulikuwa tunaishi enzi za utoto kwahiyo mambo yakiwa magumu nitaswitch kwenda utoto nitavamia chumba chetu tulichokuwa tunalala enzi za mwalimu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Karibu sana best,ila angalia usije ukasahau njia ya kurudia kwako ulale njiani fofofo! [emoji12] [emoji12] [emoji12]