Uzi maalum wa wanywaji pombe

Uzi maalum wa wanywaji pombe

88a80c5bd37698e80b11803129d6e21c.jpg


-Ndumilakuwili-
hii bila shaka ni arusha. ...maana ndo wana huu ujinga
 
Nawaona tu mnavyotamba,ngoja na mie nianzishe uzi wa watumiaji wa sigara kubwa ili twende sawa
Ukianzisha ni tag puliziiii. hahahaha
Mzima lakini?

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
binafsi km mtoto wa kike ambae najinunuliaga pombe, nimeshagundua ina faida kubwa kwenye productivity yako ya kila tu pale tu utakapojua ni aina gani ya pombe inafaa lifestyle yako. mfano: km ww ni mkurugenzi au kiongoz lkn mlevi bac k-vant inakufaa. ..km n mpiga debe au dalali kilevi chako n konyagi, km unapenda kufanya kazi huku uko high bac valuer inakufaa, km n mla bata kama bosslady hapa basi ni mwendo wa dompo tu
 
Kuna jamaa alikutwa amelala chumbani kwa watu Oyterbay, jamaa anakoroma, watoto ilibidi wawaambie wazazi wao, wazazi wamekuja waliamua kuhamisha watoto wakamuwacha jamaa alale tena yuko na boxer kama kwake.

Asubuhi wanamuuliza umefikaje hapa, kumbe jamaa aliishi nyumba ile akiwa mtoto na alizaliwa hapo enzi za Nyerere. Alikwenda kwenye party maeneo baada ya pombe kukolea na kuona ile nyumba akili za utotoni zilirudi kuwa pale ni home.
Lol.... hukosi vituko Auntiie weweeee.
Sema jamaa alitisha sana akili za utoto zikamrudia hahaha.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Ndo ujiandae hiyo siku tukatambae..
Jamani mie sijawahi lewa nisijitambue, pombe zikinizidi naumwa naishia kutapika.



hahhaah cant wait demi ! mie sijui ilikuwaje mbeya.. nimeenda harusin na rafk angu yaan tulilewa na nikakamata usukan tunaingia tu getin hatukushuka! tukalala mle! na vile heka heka za harus hakuna aliyejua tupo kwa gari! siku ile mie nilizima!... ukuje tu!
 
hahhaah cant wait demi ! mie sijui ilikuwaje mbeya.. nimeenda harusin na rafk angu yaan tulilewa na nikakamata usukan tunaingia tu getin hatukushuka! tukalala mle! na vile heka heka za harus hakuna aliyejua tupo kwa gari! siku ile mie nilizima!... ukuje tu!
Usijali mydear..soon!
 
....Miaka kadhaa iliyopita kuna jamaa mmoja alikuja from DSM kwenye kinyang'anyiro cha kugombea kura za maoni wilayani Kilwa kupitia chama chama kimoja kikongwe. Baada ya mchuano mkali jamaa kura zikawa hazikutosha, akaamua kwenda kupata monde apunguze machungu; hivyo akapiga konyagi za kutosha (inasemekana ndiyo kinywaji chake).

Jamaa alikuwa amefikia Guest moja maarufu tu pale Kilwa Masoko (MJAKA GUEST HOUSE), sasa baada ya kupiga bapa za kutosha akaingia kwenye gari lake kurudi guest, aisee badala ya kukunja kuingia guest (iko pembeni ya barabara) jamaa akanyoosha moja kwa moja akaingia bandarini (kulikuwa hakuna geti enzi hizo, kuna kamba tuu) moja kwa moja mpaka kwenye deck ya meli akatumbukia baharini, na mauti yakamkuta hapo hapo.

Wewe aseeh very sad, ...kweli pombe sio chai,ila mi nachjua ukiendesha chombo cha motor ukiwa umelewa, ajali ua ni nje nje,.. Kwa sabab ukikanyaga mafuta ua unadhan ndo brake,....
 
Back
Top Bottom