Uzi maalum wa wanywaji pombe



shouger una mbwemwee!heehe nikajua kitu cha henessy kumbe le dompo tu ya 15000/= teh!...haya le boss lady !salute
 
Bar nzuri iwe na misosi nyama choma vinywaji kibao bila kusahau wale viumbe wetu hasa wakiwa na mitako mikuuubwaaa sura hata iwe mbovu ila mzigo uwepo
Ukija Arusha nenda Picnic au Matakao baa utakutana na hayo mambo wahudumu wenye mizigo yao
 
Picnic is number one in business, chakula kizuri, wahudumu wana vyura na sura nzuri.

Huwa ninawaza nani anawafanyia interview wale viumbe?
Hahahahaha nilijua wanaopafaham mtasifia, pale sio pa kwenda na mpenzi/mume/sijui mchumba walahi utaibiwa maana wale wahudumu ni nouma aiseeee sitakagi kwenda na mwanamme kabisaaaaa maana waweza jikuta umezira kunywa bia bure
 
Hivi hizi Safari ndogo (Mwendo kasi) wameweka nini ndani yake....!?

Siku hizi vimekuwa vichungu na vikali mno...! As if wanawakomoa Wanywaji/wateja wao.

Ama ni fake na wateja hatujui...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teheheheeh ungetafuta tena tax dreva umwambie nipeleke kwenye ile baa ina wahudumu wazuri, siku nyingine nenda matako baa ila wale sio wazuri wa sura sanaaa ila huko nyumaaaaa mmmmh
 
Teheheheeh ungetafuta tena tax dreva umwambie nipeleke kwenye ile baa ina wahudumu wazuri, siku nyingine nenda matako baa ila wale sio wazuri wa sura sanaaa ila huko nyumaaaaa mmmmh

Mimi huwa siyo mteja sana wa wale watu, ila ile atmosphere tu inavutia kukaa pale, maana screen ni za kutosha, misosi mizuri na hata wahudumu hawapandishi bili.
 
Nilifanya interview kwenye kampuni mmoja ya mazingira wakaniuliza una maoni gani kuhusu kufungiwa viloba hapa nchini, Jibu nilowapa Kama wataniita tena kwa ajili ya kazi nitawajulisha.
 
Nilifanya interview kwenye kampuni mmoja ya mazingira wakaniuliza una maoni gani kuhusu kufungiwa viloba hapa nchini, Jibu nilowapa Kama wataniita tena kwa ajili ya kazi nitawajulisha.
Ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaa
 
Mimi huwa siyo mteja sana wa wale watu, ila ile atmosphere tu inavutia kukaa pale, maana screen ni za kutosha, misosi mizuri na hata wahudumu hawapandishi bili.
Haya mkuu sema kiukweli Picnic wana huduma nzuri sana sio siri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…