Hizi Serengeti Lite hata hazileweshi
Yeah nakunywa sana aiseehhivi NEY unakunywaga wewe!
Hahah.Nimekuja kuwajazia nzi na fanta painepo yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] Best umefata nini huku chumbani kwetu wakati wewe si mwenzetu?
Yeah nakunywa sana aiseeh
mfano, juice, maji na soda
Kwahiyo kinywaji chako ni nini?basi mie zote hio zilinishinda jaman!naona zinanijaza tumbo kweli nikinywa 1 tumbo full!siwe kbs bia.. mie nikikosa kinywaj changu tleast heinken naijaribu! ila chungu nayo...
Kwahiyo kinywaji chako ni nini?
[emoji87] [emoji87]Unambaka tu,
Tbt hiyoKazi na dahawa
-Ndumilakuwili-
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa alikutwa amelala chumbani kwa watu Oyterbay, jamaa anakoroma, watoto ilibidi wawaambie wazazi wao, wazazi wamekuja waliamua kuhamisha watoto wakamuwacha jamaa alale tena yuko na boxer kama kwake.
Asubuhi wanamuuliza umefikaje hapa, kumbe jamaa aliishi nyumba ile akiwa mtoto na alizaliwa hapo enzi za Nyerere. Alikwenda kwenye party maeneo baada ya pombe kukolea na kuona ile nyumba akili za utotoni zilirudi kuwa pale ni home.
Okey wajinasweet wine mamy,smirnof blak ice! safi kbs.. mie napenda vinywaj vitamu only.. soda nimeacha ! zinanenepesha sana lol
Siwezi naogopa kuanguka na utu uzima huuSo hata wine hupelek
Bibie unakunywa kinywaji gani?[emoji87] [emoji87]
Ahahha ney bana mbona mchokozi hivyo nakunywa fanta orangeBibie unakunywa kinywaji gani?
Siwezi naogopa kuanguka na utu uzima huu