Uzi maalum wa wanywaji pombe

Uzi maalum wa wanywaji pombe

Kuna jamaa alikutwa amelala chumbani kwa watu Oyterbay, jamaa anakoroma, watoto ilibidi wawaambie wazazi wao, wazazi wamekuja waliamua kuhamisha watoto wakamuwacha jamaa alale tena yuko na boxer kama kwake.

Asubuhi wanamuuliza umefikaje hapa, kumbe jamaa aliishi nyumba ile akiwa mtoto na alizaliwa hapo enzi za Nyerere. Alikwenda kwenye party maeneo baada ya pombe kukolea na kuona ile nyumba akili za utotoni zilirudi kuwa pale ni home.
 
basi mie zote hio zilinishinda jaman!naona zinanijaza tumbo kweli nikinywa 1 tumbo full!siwe kbs bia.. mie nikikosa kinywaj changu tleast heinken naijaribu! ila chungu nayo...
Kwahiyo kinywaji chako ni nini?
 
Kazi na dahawa
d3ae0dc90a785ba222e6206c995650b1.jpg
56aaf747489ada3c110e3c44ab5cae6b.jpg


-Ndumilakuwili-
Tbt hiyo
 
Kuna jamaa alikutwa amelala chumbani kwa watu Oyterbay, jamaa anakoroma, watoto ilibidi wawaambie wazazi wao, wazazi wamekuja waliamua kuhamisha watoto wakamuwacha jamaa alale tena yuko na boxer kama kwake.

Asubuhi wanamuuliza umefikaje hapa, kumbe jamaa aliishi nyumba ile akiwa mtoto na alizaliwa hapo enzi za Nyerere. Alikwenda kwenye party maeneo baada ya pombe kukolea na kuona ile nyumba akili za utotoni zilirudi kuwa pale ni home.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom