Uzi maalum wa wanywaji pombe

Huyo jamaa uliemrudishia chenji alikuacha kweli?
 
Hizi Serengeti Lite hata hazileweshi
Kitu chenye lite ebu angalia alcohol % Kama siyo tatu Mimi nikiwa huko naanza chezea kitu kinasoma 8% kuendelea hapo ndipo utagundua kuwa in alcohol there's true.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndo ujiandae hiyo siku tukatambae..
Jamani mie sijawahi lewa nisijitambue, pombe zikinizidi naumwa naishia kutapika.
 
Huyo jamaa uliemrudishia chenji alikuacha kweli?
Sijui yani hta kama kulikuwa na ugomvi...ila asubuhi yake nilikuta pei imeisha nimebaki elf mbili mia sita labda jamaa alinisachi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…