Uzi Maalum: Wazazi tujuzane games na cartoons zisizofaa kwa Watoto wetu ili tuwalinde na kuwasaidia

Uzi Maalum: Wazazi tujuzane games na cartoons zisizofaa kwa Watoto wetu ili tuwalinde na kuwasaidia

Kunguru Mjanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2012
Posts
2,046
Reaction score
3,971
Leo nimekaa nimewaza sana kuna games watoto wetu wanacheza siku hizi ila nyingi zina hatari sana. Games nyingi siku hizi wanacheza online na zinawakutanisha na watu wasio wajua kabisa. Hii ni hatari sana

Lakini pia siku hizi haya hizi games na cartoons zimekuwa na maudhuni ya ajabu mengi yakilenga masuala ya LGBTQ pamoja na maudhui mengi sana yasiyofaa kwa Watoto kwa umri wao.

Mfano nasikia kuna hii game inaitwa Roblox ambalo pamoja na utamu wake ni game la rika zote na watoto huku wanachati sana na watu wasiowajua (third party) kitu ambacho mtoto anakuwa kwenye hatari sana.

IMG_1752.png


Najua ni vema kuongea na watoto na kuwaelimisha kwa masuala anuai yanayotokea kwenye jamii kwa sasa lakini Wazazi kwa namna moja au nyingine hatuji hizi games na cartoons wanazoangalia Watoto wetu.

Wazazi njoo hapa tujaribu kuelezeana games na cartoons ambazo ni hatari kwa watoto wetu na hatari zake ili tuweze kusaidia na kuwajenga Watoto
 
Nipe utofauti wao,,,
au mtoto wa elfu mbili anazaliwa akiwa anaongea?
Utofauti si kwenye biolojia ya watoto ila mazingira yalivyo kwa kipindi kile na hiki. Utandawazi na teknolojia kwa sasa imekua sana…mfano zamani watoto walikuwa wanacheza nje ila kwa sasa ukimwambia wako acheze nje si ajabu atajikuta mwenyewe
 
Baby shark dododododo
Baby shark dododododo
Baby shark

Old mark dona had a farm
iya iya yoooo
On his farm he had a cow
iya iya yoooo
With the mo mo mo here
With the mo mo mo there
Here moo there moo
Everywhere mo mo

Five little ducks went out one day
Over the hill and far away
Mamy ducks said
Quak quak quak quak
But only four little ducks came back

Emma would cut ur hair ,will keep you very clean
No no, I love my hair, it's too long just like yours

The wheels on the bus go
round and round, round and round, round and round
The wheels on the bus go
round and round,all through the farm

Mamy finger,mamy finger, where are you
Here I'm,here I'm
How do you dooooo

Ngoj nkamalzie kufua nakuja😌🏃🏾‍♀️
 
Baby shark dododododo
Baby shark dododododo
Baby shark

Old mark dona had a farm
iya iya yoooo
On his farm he had a cow
iya iya yoooo
With the mo mo mo here
With the mo mo mo there
Here moo there moo
Everywhere mo mo

Five little ducks went out one day
Over the hill and far away
Mamy ducks said
Quak quak quak quak
But only four little ducks came back

Emma would cut ur hair ,will keep you very clean
No no, I love my hair, it's too long just like yours

The wheels on the bus go
round and round, round and round, round and round
The wheels on the bus go
round and round,all through the farm

Mamy finger,mamy finger, where are you
Here I'm,here I'm
How do you dooooo

Ngoj nkamalzie kufua nakuja😌🏃🏾‍♀️
Cha kushangaza nazijua zote 😅
Hujaandika

Akili akili akili akili akili akili akili akili akili akili akili, little lion X 4, happy happy hippo X 4, bush baby X 4.

Sharing is caring oh sharing is fine. We can all share together make happy everyone.
 
Baby shark dododododo
Baby shark dododododo
Baby shark

Old mark dona had a farm
iya iya yoooo
On his farm he had a cow
iya iya yoooo
With the mo mo mo here
With the mo mo mo there
Here moo there moo
Everywhere mo mo

Five little ducks went out one day
Over the hill and far away
Mamy ducks said
Quak quak quak quak
But only four little ducks came back

Emma would cut ur hair ,will keep you very clean
No no, I love my hair, it's too long just like yours

The wheels on the bus go
round and round, round and round, round and round
The wheels on the bus go
round and round,all through the farm

Mamy finger,mamy finger, where are you
Here I'm,here I'm
How do you dooooo

Ngoj nkamalzie kufua nakuja😌🏃🏾‍♀️
Ndo game la watoto au?
 
Cha kushangaza nazijua zote 😅
Hujaandika

Akili akili akili akili akili akili akili akili akili akili akili, little lion X 4, happy happy hippo X 4, bush baby X 4.

Sharing is caring oh sharing is fine. We can all share together make happy everyone.
Hahahaha aseeeee ni nyingi mno kuandika zote uongo,, umesahau hii

Hisabatiiii hisabatiiii hisabatiiii
Ayeeeeee
Aye ayee...
Hapo sasa mama ndege aanze kurap uuuwweeeh

😌
 
Back
Top Bottom