Uzi Maalum: Wazazi tujuzane games na cartoons zisizofaa kwa Watoto wetu ili tuwalinde na kuwasaidia

Uzi Maalum: Wazazi tujuzane games na cartoons zisizofaa kwa Watoto wetu ili tuwalinde na kuwasaidia

mimi napenda kuwawekea channel ya fix and fox kuna moja inaitwa eena meena and deeka hata mm lazima nikae tuangalie in case kifurush kimekata wanapambana na hao akili kila jumamos na jpili asbh kuanzia saa tatu tunaenda chanel ten wanaangalia katuni ya baraka na kijiti cha matumaini nikiona wamezoea hawana cha kufanha wapo idle nawawekea their favourite animation movie inaitwa moanna hii tunaangalia hata mara elf moja hawaichoki mwenyewe hua nashindwa kuifuta so nimewaongezea na tom and jerry into a snowlandman, the bad guy na klaus yan hapo situmi mtu hata maji ya kunywa.
 
mimi napenda kuwawekea channel ya fix and fox kuna moja inaitwa eena meena and deeka hata mm lazima nikae tuangalie in case kifurush kimekata wanapambana na hao akili kila jumamos na jpili asbh kuanzia saa tatu tunaenda chanel ten wanaangalia katuni ya baraka na kijiti cha matumaini nikiona wamezoea hawana cha kufanha wapo idle nawawekea their favourite animation movie inaitwa moanna hii tunaangalia hata mara elf moja hawaichoki mwenyewe hua nashindwa kuifuta so nimewaongezea na tom and jerry into a snowlandman, the bad guy na klaus yan hapo situmi mtu hata maji ya kunywa.
Aloooh io eena meena.......naipenda na ile ya yule mbwa alotupwa akajikuta yupo ufukwe wa yule mchawi huanza saa kumi jioni
 
Shida kwa sasa mambo yamebadilika sana, malezi ya mtoto aliyezaliwa miaka ya ‘90 na mtoto aliyezaliwa miaka hii ya 2000 ni tofauti mno
hakuna utofauti, ni ujinga, ulimbukeni na shobo za wazazi wapumbavu wanaodhani mapenzi bora kwa watoto ni kumpa kila anachotaka,...
 
Aloooh io eena meena.......naipenda na ile ya yule mbwa alotupwa akajikuta yupo ufukwe wa yule mchawi huanza saa kumi jioni
anaitwa bob na inaimbwa bob bob bob bob is on the beach kawimbo katamu sana kuna moja pia inaitwa marvelous mary and the magic cat yan honestly wanatulia mnoo
 
Kweli bwan,,ni.lile twiga mdomo unavocheza sasa😂
hahaha unapotembea unahesabu kilometa, hujui kilometa watakucheka, unapotembea unahesabu hatua unapokula ugali unahesabu matonge sasa hebu hesabu haya madoa yangu yapo mangapi, hisabati hisabati ehhhh ae ae ae
 
hahaha unapotembea unahesabu kilometa, hujui kilometa watakucheka, unapotembea unahesabu hatua unapokula ugali unahesabu matonge sasa hebu hesabu haya madoa yangu yapo mangapi, hisabati hisabati ehhhh ae ae ae
Hahahaha 😂😂😂😂😂😂
 
anaitwa bob na inaimbwa bob bob bob bob is on the beach kawimbo katamu sana kuna moja pia inaitwa marvelous mary and the magic cat yan honestly wanatulia mnoo
Yaani mule mule,na ile ya Gloria na Oscar the balloonist
 
Yaani mule mule,na ile ya Gloria na Oscar the balloonist
oscar na rafiki yake cactus hahahha halaf i can tell ulikua mpenzi wa cartoons eeh? mimi enzi hizo kina ben ten channel ten nilikua sitok cartoon kama ile junior na spinach yake jaman sasa kuna moja sasa hivi hua hawaiweki sana yulesis wanakua baharini mara wanapotea wanakumbana na visa
 
oscar na rafiki yake cactus hahahha halaf i can tell ulikua mpenzi wa cartoons eeh? mimi enzi hizo kina ben ten channel ten nilikua sitok cartoon kama ile junior na spinach yake jaman sasa kuna moja sasa hivi hua hawaiweki sana yulesis wanakua baharini mara wanapotea wanakumbana na visa
Mi hadi saiv aseeeee,,kuna hii ya shark analinda ka samaki mtu jna limentoka🤣 ukitaka nitulie hata sasa niletee katuni,io spinach si ndo ile akila anakua na nguvu balaa
 
Mi hadi saiv aseeeee,,kuna hii ya shark analinda ka samaki mtu jna limentoka🤣 ukitaka nitulie hata sasa niletee katuni,io spinach si ndo ile akila anakua na nguvu balaa
jahahaha ndio hiyo hiyo yaani sasa nakushauri itafute moana angalia na watoto utanipa mrejesho imefikia hatua tunaimba nyimbo zote zilizoimbwa kwenye hii movie
 
jahahaha ndio hiyo hiyo yaani sasa nakushauri itafute moana angalia na watoto utanipa mrejesho imefikia hatua tunaimba nyimbo zote zilizoimbwa kwenye hii movie
Moana hii hii au ipo nyingine, hahahaha nasubiri tu mwendelezo wa hotel Transylvania aseeee iliishia patamu ile ya 4🤣ila moana sjabahatika kuiona vizur
 
Moana hii hii au ipo nyingine, hahahaha nasubiri tu mwendelezo wa hotel Transylvania aseeee iliishia patamu ile ya 4🤣ila moana sjabahatika kuiona vizur
hahaha welcome to the hotel transylvania hivi ile ya vacation n ya ngapi? mana ndio ya mwisho kuiona, icheki moana nakwambia ni nzuri sana tunasubiri part two yake
 
hahaha welcome to the hotel transylvania hivi ile ya vacation n ya ngapi? mana ndio ya mwisho kuiona, icheki moana nakwambia ni nzuri sana tunasubiri part two yake
Ya pili ile kam sikosei,,moana hua naikosa ingawa naitafuta sana niliwah kuona mara moja tuuu
 
Tafuta game inaitwa gcompris, ni game ya wizara ya elimu sayansi na teknolojia

Game lina challenges za masomo yote mtoto anayosoma, linafundishwa kwenye sayansi darasa la 3 mtaala mpya
Sawa boss,nakubali
 
Kiukweli watoto wa zama hizi no kama kuku wa kusasa, hawatoki nje kucheza wao muda wote ni maigizo na katuni. Inafikia wakati nagoma kulipia vifurushi ili wapate muda wa kucheza na kujisomea.
 
Tuachane na ma-game za kigeni, watoto wakacheze michezo ya kujificha, rede, kukimbia, kuwinda ndege,kuruka ruka n.k

Kumuwekea games & cartoons ni kumfanya kuwa 'broiler'; mbona sisi tumeishi kiafrika na tuko vizuri tu? Au watoto wenu mnawatengenezea maisha ya kwenda kuishi mwezini?​
 
Back
Top Bottom