Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Salome alikua mwimbaji wa Kenya,aliimba pia nyimbo kama,kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe, wachawi wa misri,Na wimbo fulani hivi wa ki lugha kama kijaruo..Kuna mwimbaji alikua anaitwa rose na Salome kati yao kuna alieimba wimbo wa Yule mwizi msalabani alimwambia bwana Yesu ukirudi ktk ufalme wako wa mbingu unakumbuka
Salome akaimba tena watakapokulaza chini na kusema ee bwana bwana mtu huyu tunamjua alikua mwalimu mwema je hayo matendo yako yatakua mema kwa Mungu ili ukipate kibali cha kukufikisha mbinguni
Furaha gani ni wimbo mzuri sana wa Album ya St. James baada ya shangilieniSanaaa
Kuna huu mwingine
"Furaha gani wapendwa tukishafika mbinguni...
Alisulubiwa Yesu kutuokoa. ...
Nitashukuru mkuu. Umeufahamu lakini wimbo wenyewe? Nadhani uliimbwa na wakenya kama ilivyo kwa wimbo wa Adam na Eva (Frank na Mary Ominde).Acha Nipekuepekue Mafaili Yangu,nikiipata nitaipandisha hapa!
yule mwizi msalabaniKuna mwimbaji alikua anaitwa rose na Salome kati yao kuna alieimba wimbo wa Yule mwizi msalabani alimwambia bwana Yesu ukirudi ktk ufalme wako wa mbingu unakumbuka
Salome akaimba tena watakapokulaza chini na kusema ee bwana bwana mtu huyu tunamjua alikua mwalimu mwema je hayo matendo yako yatakua mema kwa Mungu ili ukipate kibali cha kukufikisha mbinguni
Uuuh thank youuuAngalia angalia wewe ujizaniae kuwa umesimama shika sana shika sana ulichonacho aaa sije muovu akaitwaa taji yako
Uwiii ahsanteKama naweza kuzipata hizi
# hapana rafiki kama yesu by mwakitalu
[HASHTAG]#Martin[/HASHTAG] Gondwe
-Neno lake mungu
-Siku ya kufa kwangu
-Sodoma na Gomora
[HASHTAG]#Gwinamila[/HASHTAG]
heeeee wewe.... duh. Unao huh wimbo?Umeuliza kuhusu Sedekia na RHM, ni kwamba Sedekia alishaimba na New Life Band, kama unawajua hawa vijana na band yao.
Ila Tanzania nzima walikuwa wanarekodi RHM.
Sidhani kama itatokea tena Gospel band kama NLB Tanzania
Na sio Sedekia tu ila pia kuna Upendo Kilahiro na Beatrice Muhone.
NLB Walitunga mapambio kama:-
- Iende mbelee injili hiyoo...iende mbeleee
- Ainuliwe Mungu wetu leooo...ainuliwe bwana wa mabwana
- Mji ulee una meremeta umepambwa mauaaa
Unakumbuka?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna nyimbo ya Goliath alijifanya tishioo dhidi ya taifa la wana Israel,The best ever
.hii ndio kwaya ambayo ilifanikiwa kutunga nyimbo nzuri kwa asilimia 99%
Umenikumbusha mbali sana
Ukisema kichwa chako kina 2gb ya memory unamkufuru Mungu mkuu.Kama kuna mtu ana nyimbo zifuatazo anisaidie
"ohooo lulu iko mbinguni"
"katika viumbe vyote vilivyoumba binadamu kaumbika kuliko vyote"
"malebo kakataa kuokoka"
Sikumbuki majina ya walioimba ni akina nani, kichwa changu memory yake ndogo ni 2GB na kimejaa kwa sasa, mnisamehe