Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Huu Wimbo nakumbuka hivi vipande vipande
(Neno la Mungu lilimjia Yona)×2
Uende Ninawi ukawaambie watu wangu,
Uovu wao umefika mbele zangu..
Yona akapanda merikebu, inayokwenda Tarshishi
Ajiepushe na uso wa Mungu....
Mungu katuma upepo mkali baharini, merikebu ikawa karibu kuvunjika........
Naye Mungu alisikia maombi yake
Nayo samaki na ikamtapika...
(Neno la Mungu lilimjia Yona)×2
Uende Ninawi ukawaambie watu wangu,
Uovu wao umefika mbele zangu..
Yona akapanda merikebu, inayokwenda Tarshishi
Ajiepushe na uso wa Mungu....
Mungu katuma upepo mkali baharini, merikebu ikawa karibu kuvunjika........
Naye Mungu alisikia maombi yake
Nayo samaki na ikamtapika...