Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

Aisee mtumishi ukiparaphrase hivi moyo unaumia sababu sina hizi nilipotezaga tape zake 1998 natafuta kweli hata kariakoo kwa ignasi sijazipata mwenye nazo anipe hata kuniuzia
Mimi kwa mara ya mwisho niliisikiliza hiyo nikiwa O level, nadhani kati ya mwaka 1994 au 1995...miaka zaidi ya 20 imepita na sijapata hata wimbo mmoja nikumbushie.
 
kwaya gani iyo!
Hizi ziliimbwa na Shari Martin, mara nyingi akishirikiana na Tana River Gospel Singers. Ni waimbaji wa Kenya

Pia utakuta nyimbo kama:
Tangazo la Ajabu
Nina Amani
Christmas
A child is born
It's only you
Rafiki pesa
Jina la Yesu

Mistari michache
Tangazo la Ajabu:

(Nina tangazo la ajabu,
kwa watu wa dunia tahadhari)x2

(Ni Wakorintho wa pili,
Mlango ni wa sita fungu la pili)x2

Linasema Huu ndio wakati
wa kuokoka

mimi ndimi njia kweli na uzima
mtu haji kwa baba ila ni kwa njia ya mimi...

Jina La Yesu:

Jina la Yesu, libarikiwe
Jina la Yesu lihimidiweee
Jina la Yesu, lipewe sifa,
Jina la Yesu liheshimiwe sana

...
Yesu chomboni, na wanafunzi wake
Yesu kalala, bahari ikachafuka
BWANA twazama, Yesu tuokoe
Yesu katuliza dhoruba na bahari

Kumbuka Yesu katenda mengi,
Mapepo kafukuza na wafu akafufua
Mitume nao kwa jina lake
walifanya mengi jina la Yesu halichakai
Mwone Petro naye Yohana
Sinagogini, na yule kiwete
Hatuna fedha wala dhahabu
kwa jina la Yesu INUKA, naye kainukaa

Jina la Yesu, libarikiweee
Jina la Yesu lihim...
 
Hizi ziliimbwa na Shari Martin, mara nyingi akishirikiana na Tana River Gospel Singers. Ni waimbaji wa Kenya

Pia utakuta nyimbo kama:
Tangazo la Ajabu
Nina Amani
Christmas
A child is born
It's only you
Rafiki pesa
Jina la Yesu

Mistari michache
Tangazo la Ajabu:

(Nina tangazo la ajabu,
kwa watu wa dunia tahadhari)x2

(Ni Wakorintho wa pili,
Mlango ni wa sita fungu la pili)x2

Linasema Huu ndio wakati
wa kuokoka

mimi ndimi njia kweli na uzima
mtu haji kwa baba ila ni kwa njia ya mimi...

Jina La Yesu:

Jina la Yesu, libarikiwe
Jina la Yesu lihimidiweee
Jina la Yesu, lipewe sifa,
Jina la Yesu liheshimiwe sana

...
Yesu chomboni, na wanafunzi wake
Yesu kalala, bahari ikachafuka
BWANA twazama, Yesu tuokoe
Yesu katuliza dhoruba na bahari

Kumbuka Yesu katenda mengi,
Mapepo kafukuza na wafu akafufua
Mitume nao kwa jina lake
walifanya mengi jina la Yesu halichakai
Mwone Petro naye Yohana
Sinagogini, na yule kiwete
Hatuna fedha wala dhahabu
kwa jina la Yesu INUKA, naye kainukaa

Jina la Yesu, libarikiweee
Jina la Yesu lihim...
asante,mkuu!
 
Naomben ya munishi "nataka mapatanooooo oooh nataka mapatanooooo eeeeh.
 
Back
Top Bottom