Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
- Thread starter
-
- #381
asante,mkuu!Wadau huu sijui kama umeshawekwa humu ni wa Sedekia Ee bwana unenichunguza kutoka albam ya unaweza tena
Shukrani,mkuuKuna huu pia kwa wale wa zama hizo
Unaweza wa Fanuel Sedekia wa mwaka 1992..
Hapo nilikuwa najifunza kupiga gitaa na kinanda kanisani Lutheran church Babati nikiwa hapo class 2..
Kilimanjaro Revival choir
Mbona waogopa sasa
Mkuu kama ilienda shule ya msingi Babati miaka Hiyo kuna uwezo mkubwa tunafahamuana.Kuna huu pia kwa wale wa zama hizo
Unaweza wa Fanuel Sedekia wa mwaka 1992..
Hapo nilikuwa najifunza kupiga gitaa na kinanda kanisani Lutheran church Babati nikiwa hapo class 2..
New Life Band tokea miaka hiyooo...the 1st and Best Gospel Band ever.New Life Band!
Baba Tunakuabudu!
SafiNew Life Band tokea miaka hiyooo...the 1st and Best Gospel Band ever.
Hiyo Baba Tunakuabudu ndio aliyotoka nayo Upendo Kilahiro huko sio?
Mkuu nilisoma shule ya msingi Babati kukiwa na kina mwalimu Lawi, Ufoo,Mashausi Kitundu,Isaka na wengineo kibao...tufatane PM mkuu...nilikuwa nakaa mitaa ya kanisani Lutheran na tulikuwa tunaimba na kujifunza kupiga vyombo na watoto wa mchungaji MjemaMkuu kama ilienda shule ya msingi Babati miaka Hiyo kuna uwezo mkubwa tunafahamuana.
Nakumbuka nilikuwa naishi majengo mapya lol.
Hahhhahahah dahhhh mkuu umenikumbusha mbali.Mkuu nilisoma shule ya msingi Babati kukiwa na kina mwalimu Lawi, Ufoo,Mashausi Kitundu,Isaka na wengineo kibao...tufatane PM mkuu...nilikuwa nakaa mitaa ya kanisani Lutheran na tulikuwa tunaimba na kujifunza kupiga vyombo na watoto wa mchungaji Mjema
sawa,mkuuTafadhali mni add kwenye kundi la old gospel namba 0756 28 66 96
sawa mkuuNaomba nami mni add tafadhali +255 621 151 850
ni PM nikupe namba yangu Brother uni add kwa groupsawa mkuu
ni pm weweni PM nikupe namba yangu Brother uni add kwa group