Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,644
- 1,648
Natafuta nyimbo za tenzi..au instrument zake
Asante sana. Ubarikiwe sana.Wadau.. Majukumu yalibana, na mishe za Pasaka.. Nimemalizia mzigo
Thanks mkuuWadau.. Majukumu yalibana, na mishe za Pasaka.. Nimemalizia mzigo
Halichachi ndio hilo limekata labda ajiunge Hatupimi bandoJiunge halichachi
Mkuu ubarikiwe sana!Ya tatu
Mkuu nilisoma shule ya msingi Babati kukiwa na kina mwalimu Lawi, Ufoo,Mashausi Kitundu,Isaka na wengineo kibao...tufatane PM mkuu...nilikuwa nakaa mitaa ya kanisani Lutheran na tulikuwa tunaimba na kujifunza kupiga vyombo na watoto wa mchungaji Mjema
Nmekumbuka mbali aisee.....enzi hizo jumuiya ilikua jmos jioni, daaah! [emoji1]
Nimetafuta sana hizi nyimbo za hii choir