Uzi Maalumu kwa Wahenga wa JamiiForums

Uzi Maalumu kwa Wahenga wa JamiiForums

Subiri maswali tosha kuhusu ID yako ya zamani ilikuwa ipi ili wafukue makaburi. Basi nawe ni muhenga pamoja na kule jukwaa la kuudhi kuingia mara moja moja.
Kule kulinishinda ujue!!! Nilijikuta nadata sababu ya Kule, waweza ongea mwenyewe njiani.... Nikaona ya nini yote hayoo, kuna maisha zaidi ya kule nkalala mbeleee
 
Ndiyo ukaamua kuipotezea ile ID ya 2007 ukaamua kushuka ukumbini na hii. Kule inahitaji moyo maana kuna watukanaji wa matusi mpaka ya nguoni. Mwanzoni nilikuwa nabonyeza kila kitufe na kuripoti kwa MOD, lakini baadaye wakawa hawafanyi lolote nikawa nazuka PM ya aliyenitusi na kufanya yangu. Sasa mtu kakutusi ukimfuata PM mbio kwa MODS unaishia kula BAN wakati yeye ndiye aliyeanza. Sasa hivi uso kwa uso.

Kule kulinishinda ujue!!! Nilijikuta nadata sababu ya Kule, waweza ongea mwenyewe njiani.... Nikaona ya nini yote hayoo, kuna maisha zaidi ya kule nkalala mbeleee
 
Ndiyo ukaamua kuipotezea ile ID ya 2007 ukaamua kushuka ukumbini na hii. Kule inahitaji moyo maana kuna watukanaji wa matusi mpaka ya nguoni. Mwanzoni nilikuwa nabonyeza kila kitufe na kuripoti kwa MOD, lakini baadaye wakawa hawafanyi lolote nikawa nazuka PM ya aliyenitusi na kufanya yangu. Sasa mtu kakutusi ukimfuata PM mbio kwa MODS unaishia kula BAN wakati yeye ndiye aliyeanza. Sasa hivi uso kwa uso.
Yaani Hapana kwa kweli!!!
Kule kwahitaji akili na moyo wa ziada... Kina Sie kulia ni dk sifuri tu na kutukana ndo siwezi... Naishia kusoma tuu
 
Dah! ulikuwa hadi unalia? Pole sana bora uliamua kujiondoa kule, lakini asikwambie mtu kule kunaudhi sana na kwa kuwa wewe ni mhenga unajua fika miaka ya nyuma hakukuwa hivi kulivyo hivi sasa. Baada ya MACCM kuwaamua kuajiri buku 7 na kuwamwaga humu ndiyo tatizo la matusi lilipoanza rasmi. CCM waliona buku 7 wamezidiwa kwenye hoja za nguvu na hivyo kuwaruhusu kutumia matusi. Na ID moja ya buku 7 ilikuwa inaweza kuwa na access na watu chungu nzima na wakazichonga IDs za kutosha tu ili kuvuruga mijadala muhimu hapa jamvini.

Yaani Hapana kwa kweli!!!
Kule kwahitaji akili na moyo wa ziada... Kina Sie kulia ni dk sifuri tu na kutukana ndo siwezi... Naishia kusoma tuu
 
Nawakumbuka akina:

WomanofSubstance (jirani wa ukweli huyu na mtu mmoja poa sana) Mwafrika wa Kike, Kiranga, Mbu, Nyamayao, Mwanajamii One, Firstlady1, Fixed Point (MSULI) na wengineo wengi ambao walikuwa watu muhimu sana kwa michango yao ambayo illifanya Jamii Forums ipendwe sana na Watanzania ndani na nje ya nchi hata kwa majirani zetu wa Kenya na sasa kuwa tishio kubwa kwa Serikali.
wakati nimejiunga 2009,ulikuwa unaitwa babu ataka kusema,but I think ndo abbreviation yake unatumia
 
Dah! ulikuwa hadi unalia? Pole sana bora uliamua kujiondoa kule, lakini asikwambie mtu kule kunaudhi sana na kwa kuwa wewe ni mhenga unajua fika miaka ya nyuma hakukuwa hivi kulivyo hivi sasa. Baada ya MACCM kuwaamua kuajiri buku 7 na kuwamwaga humu ndiyo tatizo la matusi lilipoanza rasmi. CCM waliona buku 7 wamezidiwa kwenye hoja za nguvu na hivyo kuwaruhusu kutumia matusi. Na ID moja ya buku 7 ilikuwa inaweza kuwa na access na watu chungu nzima na wakazichonga IDs za kutosha tu ili kuvuruga mijadala muhimu hapa jamvini.
Aaaah
Kulia lazima aiseee, sio kwa mitusi ile ya kule
 
Hahahahaha dah! Pole sana aisee naona ulikuwa ukishatusiwa vile basi huingii huku kipindi na ndiyo ukaja na njia mbadala ya kuacha na ID ile na kuja kivingine na kule kubaki kuwa msomaji tu tena wa mara moja moja. Ila kuna watu wana matusi aisee mie mpaka PM yangu nimeamua kuifunga kwa watu wasiojulikana.

Aaaah
Kulia lazima aiseee, sio kwa mitusi ile ya kule
 
Hahahahaha dah! Pole sana aisee naona ulikuwa ukishatusiwa vile basi huingii huku kipindi na ndiyo ukaja na njia mbadala ya kuacha na ID ile na kuja kivingine na kule kubaki kuwa msomaji tu tena wa mara moja moja. Ila kuna watu wana matusi aisee mie mpaka PM yangu nimeamua kuifunga kwa watu wasiojulikana.
Pole mnooo
 
Back
Top Bottom