EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Mkoa wa GeitaKatoro ipo wapi?
Safi sana mkuu kunywa maji wa kandoro au bombani na magome ya mwarobainiLeo naumwa kichwa ila dawa ndo sinunui .Bora nife
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Tumpe na kadi ya uwanachama kabisa, huyu anatufaa..... Kila mtu abaki na hela zake.
Awe mkuu wa tawi la mahali anapoishi 🙂 🙂Tumpe na kadi ya uwanachama kabisa, huyu anatufaa..... Kila mtu abaki na hela zake.
Apo ndiyo makao makuu ya CHAMA
Mi Mweka hazina na hapa michango ipo 780Mwenyekiti wa UWABATA hapa JF ni Kaka madenge katibu nikiwa Mnyatiaji
Kaka madenge kama mwenyekiti unaliongeleaje hili suala kwa ndugu muhazini EINSTEIN112Mi Mweka hazina na hapa michango ipo 780
Kwa sasa muweka hazina ni The Icebreaker na anatekeleza majukumu yake ipasavyo hivyo ningeomba ndugu EINSTEIN112 apewe nafasi ya propaganda na uenezajiKaka madenge kama mwenyekiti unaliongeleaje hili suala kwa ndugu muhazini EINSTEIN112
Naam ndugu katibu na majukumu tunayatekeleza vyema kabisa.Mwenyekiti wa UWABATA hapa JF ni Kaka madenge katibu nikiwa Mnyatiaji
Ukipoteza mia chini itafute usiondoke