Uzi maalumu kwa wakulungwa (UWABATA)

Uzi maalumu kwa wakulungwa (UWABATA)

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Motto: kuna pesa naisikilizia

FB_IMG_1614848707429.jpg
 
Nasikia T-shirts za Uwabata zimetoka ni kweli wadau ? nina jero nataka nipate moja .
 
Mwenyekiti wa UWABATA hapa JF ni Kaka madenge katibu nikiwa Mnyatiaji
Naam ndugu katibu na majukumu tunayatekeleza vyema kabisa.
Pia tulishasema mchumba hasomeshwi kwani wewe sio baba yake.
Marufuku kusikiliza nyimbo za zuchu
Kuhonga mwisho 150 hiyo pesa nyingine kanunue bati au tofali.
Msichana akikuchekea chekea ujue anakuomba ela kwahiyo nyamaza na umpigie katibu mkuu Mnyatiaji aje kukuokoa
 
Back
Top Bottom