Uzi maalumu kwa wakulungwa (UWABATA)

Timu ya uokozi ipo vizuri ila gari nimepeleka gereji kuna ela naiskilizia ili niifate
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yakutolea tulishakubaliana haipo
 
True.
Binafsi uwa na tabia ya kusachi mikoba kama akitoka au kwenda msalani.
Nikikutana na noti,my friend uwa siziachagi,litakalokuwa na liwe.
Unachukua elfu 20 halafu unampa wakati anaondoka atahesabia mbele ya safari 🙂 🙂
 
Fedha halali kwa malipo so jero ? sasa imekuwaje mpaka kufika 150
 
Jamani mwenyekiti wa UBAWATA kanda za nyanda za juu kusini ndipo nafika leo makao makuu ya kanda yetu ili kuyaanza majukumu ya chama chetu tangu nichaguliwe na wanachama wenzangu.

Kiukweli nimetembea siku tatu kwa mguu toka mbeya hadi sumbawanga. Nashukuru kiporo nilichokuwa nimekibeba toka mbeya hadi sumbawanga ndicho nakipasha saizi ili kukimalizia. Maji nilikuwa nachota kwenye mito niliyokutana nayo njiani.
Kesho naingia ofsini rasmi. Mniombee😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…