EINSTEIN112 uje uchukue taarifa makao makuuKwa sasa muweka hazina ni The Icebreaker na anatekeleza majukumu yake ipasavyo hivyo ningeomba ndugu EINSTEIN112 apewe nafasi ya propaganda na uenezaji
Timu ya uokozi ipo vizuri ila gari nimepeleka gereji kuna ela naiskilizia ili niifateNaam ndugu katibu na majukumu tunayatekeleza vyema kabisa.
Pia tulishasema mchumba hasomeshwi kwani wewe sio baba yake.
Marufuku kusikiliza nyimbo za zuchu
Kuhonga mwisho 150 hiyo pesa nyingine kanunue bati au tofali.
Msichana akikuchekea chekea ujue anakuomba ela kwahiyo nyamaza na umpigie katibu mkuu Mnyatiaji aje kukuokoa
Tukazane mkuu maisha ni pesaWakulungwa pesa tuendelee kuitafuta
Nalog off
[emoji28] sawa mkuu ila kila mchango atangaze hapaKwa sasa muweka hazina ni The Icebreaker na anatekeleza majukumu yake ipasavyo hivyo ningeomba ndugu EINSTEIN112 apewe nafasi ya propaganda na uenezaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yakutolea tulishakubaliana haipoNaam ndugu katibu na majukumu tunayatekeleza vyema kabisa.
Pia tulishasema mchumba hasomeshwi kwani wewe sio baba yake.
Marufuku kusikiliza nyimbo za zuchu
Kuhonga mwisho 150 hiyo pesa nyingine kanunue bati au tofali.
Msichana akikuchekea chekea ujue anakuomba ela kwahiyo nyamaza na umpigie katibu mkuu Mnyatiaji aje kukuokoa
Nimeipata mh. KatibuEINSTEIN112 uje uchukue taarifa makao makuu
Hakikisha anaondoka na nauli yakeKuna manzi anakuja geto,ngoja kwanza nipashe kiporo cha wali alafu ntarudi kuichambua hii mada.
True.Hakikisha anaondoka na nauli yake
Kama ni member basi suspended inakuhusu.Ila sometimes kuombwa hela na mwanamke ni raha sana
sababu ya kutosikiliza ni niniUkipoteza mia chini itafute usiondoke
Marufuku kusikiliza nyimbo za zuchu
Wakulungwa pesa tuendelee kuitafuta
Nalog off
Unachukua elfu 20 halafu unampa wakati anaondoka atahesabia mbele ya safari 🙂 🙂True.
Binafsi uwa na tabia ya kusachi mikoba kama akitoka au kwenda msalani.
Nikikutana na noti,my friend uwa siziachagi,litakalokuwa na liwe.
huyu apewe kadi nyekunduKama ni member basi suspended inakuhusu.
Tunasikiliza nyimbo ngumu sio "asali" hizo wanaimbiana wakina mamasababu ya kutosikiliza ni nini
Fedha halali kwa malipo so jero ? sasa imekuwaje mpaka kufika 150Naam ndugu katibu na majukumu tunayatekeleza vyema kabisa.
Pia tulishasema mchumba hasomeshwi kwani wewe sio baba yake.
Marufuku kusikiliza nyimbo za zuchu
Kuhonga mwisho 150 hiyo pesa nyingine kanunue bati au tofali.
Msichana akikuchekea chekea ujue anakuomba ela kwahiyo nyamaza na umpigie katibu mkuu Mnyatiaji aje kukuokoa