EwaaaahKumbe kuna buffee la buku saba pale? Si unaongelea hapa opposite na ghorofa jipya la PSPF? Pembeni yake wanauza kitimoto?
Yule Jirani yake wa kitimoto huwa ananitisha maana wengine sisi sio wateja. Ngoja kesho lunch nifanye ziara
Mbona ujazitaja hizo sehemu wewemi naona sehemu hizo ni za bei poa afu hata watoto wa la 7 wanaendaga so kujimix na watoto ni kujidharirisha.
mfanovroyal village simple sana pale vitoto vingi vinashindaga pale age 14yrs±
bado hujazunguka dom yote wewe kuna sehemu tulivu na za hadhi.
Najiremba tayar kwenda club [emoji188] [emoji188] [emoji188] [emoji188]
Ipo vizuri saana aisee!wale madogo wanajitahidi!Kitimoto nyingine ipo huku uzunguni pale waswanu pub
Yap kitimoto yao pale naielewa sana Mara nyingi nikiwa dom nakaa hapo maana ndo mitaaIpo vizuri saana aisee!wale madogo wanajitahidi!
Mi pia ndio pande zangu Mkuu,mara nyingi nipo hapo,Kina Many,Steve unawafaham?Yap kitimoto yao pale naielewa sana Mara nyingi nikiwa dom nakaa hapo maana ndo mitaa