Uzi maalumu kwa Wana JamiiForums wanaohamia na kuishi Dodoma!

Kumbe kuna buffee la buku saba pale? Si unaongelea hapa opposite na ghorofa jipya la PSPF? Pembeni yake wanauza kitimoto?

Yule Jirani yake wa kitimoto huwa ananitisha maana wengine sisi sio wateja. Ngoja kesho lunch nifanye ziara
Ewaaaah
 
Mbona ujazitaja hizo sehemu wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…