Mwenyekiti naona unapokea wageni!Waoooooh my dada karibu sana
Usijali mdongo anguUkija tutaenda woteeee
Sisi tunawakaribisha Mwenyekiti,naamini kwako hakuna linaloshindikana!Kabisa katibu wangu wageni wanamiminika
Weka hapa sura yako nzuri tuione!Wagogo wana sura mbaya
Town wanatuuzia 30000 sjui huko
Hajibu dm na whatsapp,,,nataka kuagizaKama una account yake IG unaweza kuwasiliana naye ila kwa masuala ya furniture Dodoma huyo ndo suluhisho
Presidantial chupa moja