Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Hii ni sehemu maalumu kwa wale wote wenye mpango wa kuoa na kuolewa. Tupia Likes, Comments kuhusiana na uamuzi huu mzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pitisha kadiMie ninampango wa kuoa mwezi wa 1 next year
Tusiogope kuoana ,ndoa ni urafiki na undugu. Liverpool VPN umenielewa sivyo?
🤣🤣🤣Tulia dawa ikukolee.😉Unaongea na Mimi au?
🙄🙄🙄🙄
#YNWA
Ndoa hapana Kwa kweli,nataka kuishi na mwanaume tu Mpaka kaburiniJirani unataka ndoa...
Nikiishi na wewe miezi sita none stop tayari unakua mke wangu,,,Ndoa hapana Kwa kweli,nataka kuishi na mwanaume tu Mpaka kaburini
Yeah,sasa ikiwa miaka itakuwaje🤣😉Nikiishi na wewe miezi sita none stop tayari unakua mke wangu,,,
Ndoa hapana Kwa kweli,nataka kuishi na mwanaume tu Mpaka kaburini
OH, yani ufie kwenye uasherati kabisa sio!?!Ndoa hapana Kwa kweli,nataka kuishi na mwanaume tu Mpaka kaburini