Uzi maalumu kwa wanaotaka kuoa na kuolewa

Uzi maalumu kwa wanaotaka kuoa na kuolewa

29 yr old Man needs a partner to start a family with.

Beautifully and conscious partner who knows something bout family building



I'm loving,self aware and interesting guy who is serious. I got a job as a carpenter and different interesting skills and hobbies.



Inshort let's be each other daily distraction and excitement.
 
Mimi nataka kuoa kama nitapata muha au msukuma anayejitambua wa kijijini kabisa! Kama kuna mtu ana connection ya vijijini naomba msaada
Nakushauri njoo Usukumani. Wana adabu sana. Sema mahari zao ziko juu.
 
Nakushauri njoo Usukumani. Wana adabu sana. Sema mahari zao ziko juu.
Ninao mfano kuna jamaa single father kapata kabinti huko kabichiii umri kanakaribiana na mwanae katoa mali nyeupeee katoa ng'ombe 18 na kuihudumia ile familia ya mkewe kila wakiwa na shida
 
Am woman age 36
A single man born from 1978_1985 am deeply in love
A man who is saved by God I mean apentecost fellow your much loved
 
Back
Top Bottom