Uzi maalumu kwa wanaotaka kuoa na kuolewa

Uzi maalumu kwa wanaotaka kuoa na kuolewa

Ndoa yeyeto inaweza kudumu endapo wanandoa wanayo elimu kuhusu ulimwengu wa Roho unavyofanya kazi. Shida zote za ndoa chanzo ni ulimwengu wa ROHO. Uthibisho 80% wanafikia utu uzima ujutia Sana maamuzi waliyofanya kuhusu talaka. Umuhimu na thamani ya ndoa ni kwenye utu uzima.
 
Ndoa nyingi uvunjika ujanani sababu ya emotions zaidi enzi za ujanani maji ya moto.Kama tunaweza ishi na ndugu mbalimbali wenye tabia za hovyo na tumeweza wavumilia kwann tushindwe vumilia tabia za wenza wetu.
 
Tulia bwana kusex unaachaje? Ndio raha ya dunia hiyo wewe.
Niiite mie tuje tuishi pamoja hapo green city tupeane maraha. Mwanamke kama wewe ambayw haletinpresha za ndoa ndio namtaka
Kwahiyo kuniuliza kote point Yako kuu ulitaka niongee litakalo kufurahisha? ,😳🙄
 
Back
Top Bottom