coockie monster
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 373
- 724
Yeye agegede tuuKwahiyo asiishi na mtu
Sina akili🤣Na kama hujaolewa tusemeje🤔🤔🤔
Kwaiyo asioe🤣Sasa mzeya unakaribia forty unataka kuoa ili iweje
Sasa wote hatuna aki sii ndio tukahamie kwenye lile gheto la kitundaSina akili🤣
Kwan ushalipa tayari 😄Sasa wote hatuna aki sii ndio tukahamie kwenye lile gheto la kitunda
Sasa 37 unaoa mwanamke wa nini maana kama kugegeda samplinzote za papuchi ulishakuna nazo.Kwaiyo asioe🤣
Mwaka mzima wee njoo tunaishi pale stress freee. Kazi yetu ni kugegedana mpaka apatikane mzabzab jnrKwan ushalipa tayari 😄
😂😂😂Mwaka mzima wee njoo tunaishi pale stress freee. Kazi yetu ni kugegedana mpaka apatikane mzabzab jnr
SwadaktaNdoa ni tamu kama mkielewana
Nakushauri njoo Usukumani. Wana adabu sana. Sema mahari zao ziko juu.Mimi nataka kuoa kama nitapata muha au msukuma anayejitambua wa kijijini kabisa! Kama kuna mtu ana connection ya vijijini naomba msaada
Hakuna shida mkuu, naomba connection kama unawajuaNakushauri njoo Usukumani. Wana adabu sana. Sema mahari zao ziko juu.
Ninao mfano kuna jamaa single father kapata kabinti huko kabichiii umri kanakaribiana na mwanae katoa mali nyeupeee katoa ng'ombe 18 na kuihudumia ile familia ya mkewe kila wakiwa na shidaNakushauri njoo Usukumani. Wana adabu sana. Sema mahari zao ziko juu.