Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Nyie wahaya mnapenda Sana attention πππhow are u'r wewe kijana uri retereza huu uzi?
Naitwa Mr.Rweyemamu Muganyizi.
kwa sasa nimekuja New York kunyoa nywere zangu.
hii mada nimeipenda ngoja nimtag kijana wangu Rutashobya ambae kwa sasa yupo Havard akimarizia shahada yake ya kwanza.
welcome kijana wangu Ruta.
Na wewe ni wakishua πWacha wee,em ngoja tufahamiane mkuuπ₯΄π€
Wakati unataka connection na hao watoto wa kishua wewe unaleta dili gani mezani?Habari za muda mrefu ndugu Wana familia wa jamii forums.
View attachment 3048191
lengo la kuanzisha huu Uzi ni kukutanisha watoto wa kishua na watu wenye uwezo kiuchumi " matajiri " kwa ajili ya kubadilishana mawazo hapa na pale, tunaweza kujenga umoja na ushirikiano ikiwa ni pamoja na kutumia vyema mtandao huu kwa mawasiliano mazuri . Karibu ndugu Wana familia tuungane pamoja matajiri au watoto wa matajiri.
View attachment 3048193
π€£π€£π€£π€£Tulia weweeπ€Na wewe ni wakishua π
ko sisi kajamba huzi wako hautuhusu?Habari za muda mrefu ndugu Wana familia wa jamii forums.
View attachment 3048191
lengo la kuanzisha huu Uzi ni kukutanisha watoto wa kishua na watu wenye uwezo kiuchumi " matajiri " kwa ajili ya kubadilishana mawazo hapa na pale, tunaweza kujenga umoja na ushirikiano ikiwa ni pamoja na kutumia vyema mtandao huu kwa mawasiliano mazuri . Karibu ndugu Wana familia tuungane pamoja matajiri au watoto wa matajiri.
View attachment 3048193
worry out wewe kijana,embu nipe account number yako nikutumie $100,000.iri muandae chikao cha rich gang boyz na kijana wangu.Nyie wahaya mnapenda Sana attention πππ
πππππHakuna tajiri hapa