Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naelekea bank kuchukua bilioni tatu,baba ameninunulia nyumba masakiHabari za muda mrefu ndugu Wana familia wa jamii forums.
View attachment 3048191
lengo la kuanzisha huu Uzi ni kukutanisha watoto wa kishua na watu wenye uwezo kiuchumi " matajiri " kwa ajili ya kubadilishana mawazo hapa na pale, tunaweza kujenga umoja na ushirikiano ikiwa ni pamoja na kutumia vyema mtandao huu kwa mawasiliano mazuri . Karibu ndugu Wana familia tuungane pamoja matajiri au watoto wa matajiri.
View attachment 3048193
Bado hujasemaaaa.... 😃😃😃🤣🤣🤣🤣Tulia wewee🤒
Kwenye birthday yangu nilipewa zawadi ya GXR land cruiser 😃😃😃😃Nyie ni watoto wa wezi mnaotuibia Kodi zetu vinginevyo nyie ni masikini wa kutupwa mana amjui kutafuta pesa zaidi ya kuiba
Utapata sponsor wa maana kupitia huu Uzi. 😃😃😃Ngoja niweke kambi hapa kwa ma-sponsor
Nakaza Ila wanangu waje wajimwambafai Kama ivi...we tulia tu muda utasemaBado hujasemaaaa.... 😃😃😃
Kitambo muda ushakwisha 😃Nakaza Ila wanangu waje wajimwambafai Kama ivi...we tulia tu muda utasema
😟🙄Kitambo muda ushakwisha 😃
Kabisa, ndio maana najitega hapa mpwaUtapata sponsor wa maana kupitia huu Uzi. 😃😃😃
🤣🤣🤣Kabisa, ndio maana najitega hapa mpwa
rafiki yangu hahaha!.. ushua niutoleee wapi mie... mie mtoto wa kitaa uswazi moyaaMTU MTU MTU we siyo wa kishua?
🤣🤣🤣Mie nimejitutumua mpaka mwanzisha thread kaduwaa🥴rafiki yangu hahaha!.. ushua niutoleee wapi mie... mie mtoto wa kitaa uswazi moyaa