ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
itakuwa weye wa kishuaa.. eeeh.. mie natafuta hela mtoto wangu aje kuwa wa kishua ile mbayaa.. na hivi atakuwa mtoto mmoyaaa atafaidi sana🤣🤣🤣Mie nimejitutumua mpaka mwanzisha thread kaduwaa🥴
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itakuwa weye wa kishuaa.. eeeh.. mie natafuta hela mtoto wangu aje kuwa wa kishua ile mbayaa.. na hivi atakuwa mtoto mmoyaaa atafaidi sana🤣🤣🤣Mie nimejitutumua mpaka mwanzisha thread kaduwaa🥴
....ikizingatia mwisho wa mwezi unaanza kunusanusa🪑🪑
Umeona ee🤣🤣😉....ikizingatia mwisho wa mwezi unaanza kunusanusa🪑🪑
Yaan ana bahati huyo balaa😓itakuwa weye wa kishuaa.. eeeh.. mie natafuta hela mtoto wangu aje kuwa wa kishua ile mbayaa.. na hivi atakuwa mtoto mmoyaaa atafaidi sana
Kambi muhimu mwaya.....kwan sh ngap!!!!Umeona ee🤣🤣😉
haya mama, uwe na walati mwema. Leo baridi sana hapa mbeya acha nijifnike na mpenzi chapa blanketiYaan ana bahati huyo balaa😓
Haya bhana,usiku mwemahaya mama, uwe na walati mwema. Leo baridi sana hapa mbeya acha nijifnike na mpenzi chapa blanketi
Yuko clever na ana muono wa mbali akaona kuliko aendelee kujimwambafy na mali za mzee ni bora aanzishe za kwakeTumia utajiri wa wazazi wako kutengeneza utajiri wako mkuu .hata wazazi wako watakuheshimu na kukusapoti.
Kuna dogo msure wake yupo vizuri ila baghili balaa dogo akaona amuibie 30m akasepa zake tunduma akafungua kipub huko kikaendelea kwa sasa ni bar na lodge .
Akarudi after 2 years akamletea mzee wake 30 m aliyomuibia mzee wake akaamua kumsamehe akamwambia aendelee kuizungusha