Uzi maalumu kwa watoto wa kishua na matajiri

Naelekea bank kuchukua bilioni tatu,baba ameninunulia nyumba masaki
 
Tumia utajiri wa wazazi wako kutengeneza utajiri wako mkuu .hata wazazi wako watakuheshimu na kukusapoti.
Kuna dogo msure wake yupo vizuri ila baghili balaa dogo akaona amuibie 30m akasepa zake tunduma akafungua kipub huko kikaendelea kwa sasa ni bar na lodge .
Akarudi after 2 years akamletea mzee wake 30 m aliyomuibia mzee wake akaamua kumsamehe akamwambia aendelee kuizungusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…