Uzi maalumu kwa watoto wa kishua na matajiri

🤣🤣🤣Mie nimejitutumua mpaka mwanzisha thread kaduwaa🥴
itakuwa weye wa kishuaa.. eeeh.. mie natafuta hela mtoto wangu aje kuwa wa kishua ile mbayaa.. na hivi atakuwa mtoto mmoyaaa atafaidi sana
 
Yuko clever na ana muono wa mbali akaona kuliko aendelee kujimwambafy na mali za mzee ni bora aanzishe za kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…