BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Jinsi yangu ni chumbani.Una akili ila changamoto ni jinsi yako isiyojulikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinsi yangu ni chumbani.Una akili ila changamoto ni jinsi yako isiyojulikana.
Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?
Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.
Twambie wewe mdau ulijisikiaje?
NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.
Akhsante.
Okey, twende, tupo pamoja. Sasa mfano mwili leo ni msafi, kesho nikafanya ngono na Halima na Rose threesome, baada ya miezi mitatu nikakuta mwili umechafuka. Kuna uwezekano kuwa ule uchafu ni Halima au Rose ameniwekea maana kabla sikuwa mchafu, kama sivyo huwa ni bahati tu kuwa unakutwa na uchafu baada ya ngono zembe?Mwili haupaswi kuwa na makapi makapi au uchafu.
Makapi na mauchafu huwa yanatolewa nje ya mwili mara moja.
Kama kuna makapi makapi mwilini na mauchafu, ujue kuna namna mwili haufanyi kazi ipasavyo kwa sababu umeujaza masumu mengi au umekosa viinilishe stahiki au umeudhuru mwili kwa namna fulani.
Na ndipo hapo utakaposhambuliwa na maradhi ya kila aina.
Palipo na uchafu lazima ukute bacteria, fungus, funza, minyoo na panya wa kila aina.
UCHAFU = Panya, mende, bacteria, fungus, virus, funza na minyoo.
BACTERIA NA FUNZA= Tuberculosis, malaria, Gonorea, Typhoid, respiratory infections. etc.
Hayo maradhi yote yanakueleza kwamba mwili ni MCHAFU.
MWILI ukiwa MCHAFU utatafuta namna ya kujisafisha, na ndio hapo utaanza kupata "magonjwa".
Magonjwa ni namna ya mwili kujisafisha.
Halima au Rose hawezi kukuwekea uchafu.Okey, twende, tupo pamoja. Sasa mfano mwili leo ni msafi, kesho nikafanya ngono na Halima na Rose threesome, baada ya miezi mitatu nikakuta mwili umechafuka. Kuna uwezekano kuwa ule uchafu ni Halima au Rose ameniwekea maana kabla sikuwa mchafu, kama sivyo huwa ni bahati tu kuwa unakutwa na uchafu baada ya ngono zembe?
Sasa inawezekana vipi kwa miaka 45 mtu hana uchafu mwilini ila baada ya kukutana tu na halima miezi mitatu mbele anakutwa na uchafu mwilini anaambiwa kuwa umeambukizwa virusi vya ukimwi? Kwanini kila baada ya ngono zembe ndo uchafu uwepo?Halima au Rose hawezi kukuwekea uchafu.
Uchafu unajiwekea mwenyewe kwa kula na kunywa matakataka. Of course pamoja na kudungwa MACHANJO yenye HEAVY METALS.
Lazima uelewe MECHANICS ZA UGONJWA.Sasa inawezekana vipi kwa miaka 45 mtu hana uchafu mwilini ila baada ya kukutana tu na halima miezi mitatu mbele anakutwa na uchafu mwilini anaambiwa kuwa umeambukizwa virusi vya ukimwi? Kwanini kila baada ya ngono zembe ndo uchafu uwepo?
Hujaelewa swali mkuu. Swali nimeuliza, mara nyingi ila si zote mtu hupima hiv baada ya kufanya ngono zembe au iwapo kumetokea tukio hatarishi la kimaambukizi.Lazima uelewe MECHANICS ZA UGONJWA.
Mwili unaweza kustahimili uchafu na masumu kwa muda mrefu sana, na wewe ukaendelea kudhani uko salama.
Kinachotokea ni kwamba, wadudu wa GONOREA wanapoingia mwilini mwako wanamea na kustawi kwa sababu kuna CHAKULA CHAO ambacho ni UCHAFU wa MACOCACOLA na MACHANJO. MASUKARI GURU na TINDIKALI.
Wadudu wa Gonorea wakiingia kwenye mwili msafi wanatimuliwa haraka sana na kuvunjwa vunjwa.
Shida mwili wako mchafu sana na umeshalemazwa kwa masumu lukuki, wadudu wakiingia wanastawii na kumea kweli kweli.
Shida sio wadudu wa GONOREA, shida ni uchafu kwenye mwili wako uliosababisha wadudu KUMEA.
Elimu sahihi ya mavi au we jamaaa ni lijinga fulani la jamii forum... pomole fulani tu.Wajinga kama wewe mnaokariri notes nafikiri mko wengi zaidi kuliko wenye maarifa ya KWELI.
Hapa unawaingiza watu chaka kwa kutumia elimu yako ya DIVISHENI FOO ya Mwembechai Secondary School.
Achana na soga za FRAGILE VIRUS, hakuna kitu kama hicho.
Sijakuelewa.Hujaelewa swali mkuu. Swali nimeuliza, mara nyingi ila si zote mtu hupima hiv baada ya kufanya ngono zembe au iwapo kumetokea tukio hatarishi la kimaambukizi.
Sasa kwa maoni yako kuwa virusi ni mabaki ya uchafu, je ni kwanini baada ya kupimwa ukakutwa huna huo uchafu unaagizwa urudi baada ya miezi mitatu kupima tena na wapo wanaokutwa nao?
Je umetengeneza huo uchafu ndani ya miezi mitatu ila hukuutengeneza kwa miaka 45/50/30/20 uliyoishi?
Kwanini uchafu/virusi vinatokea mara nyingi baada ya ngono? Kuna uhusiano kati ya ngono na virusi?Sijakuelewa.
Nimesoma mara tatu nashindwa kuelewa.
TunasubiliDah ngj ni subscribe nitarudi kushea an experience
Mbona nimekueleza vizuri tena zaidi ya vizuri, sijui kwa nini hujanielewa.Kwanini uchafu/virusi vinatokea mara nyingi baada ya ngono? Kuna uhusiano kati ya ngono na virusi?
Ok. Kwa hiyo kwa ufupi dawa ya UKIMWI ni kuwa msafi kwa kutokula junk, masoda, usichanjwe hovyo n.k. Hoja yako nimeielewa ila itabaki kuwa hoja.Mbona nimekueleza vizuri tena zaidi ya vizuri, sijui kwa nini hujanielewa.
Lugha yangu huwa inanyooka tu moja kwa moja, ulipaswa kuwa umeshanielewa. Anyway.
Nimesema hivi...
Kwenye ngono huwa kuna watu wawili: MWENYE MAAMBUKIZI, na asiye na MAAMBUKIZI.
Ni dhahiri, MWENYE MAAMBUKIZI, mwili wake tayari umeshalemazwa na athari za vitu vingi ikiwemo sumu na uchafu, ndio maana tayari amekuwa STOO YA MADUDU, TO BEGIN WITH.
Wewe usiye na maambukizi, ukikutana na huyu mwenye maambukizi, akivimimina vidudu vyake ndani ya mwili wako hautaweza kudhurika endapo mwili wako ni MSAFI kwa sababu wadudu hawaishi sehemu safi. Watavunjwa vunjwa na kutokomezwa.
Kinyume chake, kama mwili wako ni mchafu, akikuingizia vimelea vyake ndani ya mwili wako, lazima udhurike kwa sababu vijidudu vitakapokuingia vitakutana na eneo maridhawa lenye uchafu na matakataka mengine mazuri kwa ajili ya kustawi na kumea.
KWAHIYO, uchafu ndani ya mwili sio tiketi ya moja kwa moja ya kupata magonjwa.
Magonjwa yanakuja pale ambapo uchafu unakutana na VIJIDUDU.
Your body can be as polluted as possible, but when you encounter a parasite or a bacteria, it will stay there forever feeding on the dirt unless the dirt is removed.
Ndio. Lakini kumbuka UKIMWI hauambukizwi.Ok. Kwa hiyo kwa ufupi dawa ya UKIMWI ni kuwa msafi kwa kutokula junk, masoda, usichanjwe hovyo n.k. Hoja yako nimeielewa ila itabaki kuwa hoja.
Midudu inakuingia inakuta msosi kwenye mwili wako sababu ya Junk Food inazaliana.Ndio. Lakini kumbuka UKIMWI hauambukizwi.
Mengine uliyosema ni sahihi.
E X A C T L Y.Midudu inakuingia inakuta msosi kwenye mwili wako sababu ya Junk Food inazaliana.
😄 🤣 😂 😆 wewe ndo hujaelewa mkuu, soma kwa utulivuHujaeleweka kabisa mkuu hasa hapo mama alipofariki ..mara umelala mara umtafuta dereva..mara kasinzia...mara kitonga
Ambao hawana makosa wao wanajilia zao tu kama wewe unavyokula kuku choma aliyeacha mayai bandani.E X A C T L Y.
Hapo sasa unanielewa vema.
Junk Food is SUGARY, and on top of that, it is full of PRESERVATIVES and a whole bunch of other dangerous chemicals which pollute the blood and kidneys.
Na baada ya hapo sasa unageuka kuwa SHAMBA LA MABACTERIA.
💯💯💯It is a psychological disease
Ukimudu that part unatoboa.
Now days HIV is no big issue
In the end ,no one, saint ,prophet etc will get out of this world alive
We are all dead humans being walking …. It is a matter of time the truth will be revealed
death is one of the wonderful pleasures a human can experience, who knows….,
If we claim death is painful, where is the evidence to support?
If we claim it is not painful… where is the evidence to nullify ?
In your death bed , it is the right moment to tell the truth and leave the lesson behind , unfortunately, for most people , are leaving lies and myths behind
Learn how to enjoy your death process , because the truth is , your death process was initiated since day one ….
And it is the matter of time that the truth will be revealed to each of us
You will enjoy the dying , just as those who have died .
Imagine JF, in the coming 2150, I wonder if you will still be around scrolling here [emoji1787].you will be the food worms , and the flesh from your bones will be the food of thousands of microorganisms [emoji3083], it feels better , right ?
You have been killing lots of animals for your own food and amusement ! Now it is your time to give it back , interesting, the living cycle [emoji680]
Death is the Justice, the truth that everyone can check and verify … the rest are myths and fantasies of the past
TAFAKARI!