Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
- Thread starter
- #781
Hata hivo uzi ni special kwa ajili yao, we umefata nini kama uko safe?Ukifuatilia kwa umakini hizi comment humu wenye ngoma utawajua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hivo uzi ni special kwa ajili yao, we umefata nini kama uko safe?Ukifuatilia kwa umakini hizi comment humu wenye ngoma utawajua tu
Matusi hayatakusaidia kitu kwenye maisha yako ila yanaonyesha wewe ni mtu wa aina gani au unadhani kuna mtu hajui kutukana humu? Ila hatuoni faida yake ni ujinga tu unakusumbuaMpuuzi kweli. Sikukutag wala kukutafuta. Kipele chako kujia comment yangu ilhali nimemjibu mleta mada. Au ni basha wako
Acha nyege kwenye comment zangu.Matusi hayatakusaidia kitu kwenye maisha yako ila yanaonyesha wewe ni mtu wa aina gani au unadhani kuna mtu hajui kutukana humu? Ila hatuoni faida yake ni ujinga tu unakusumbua
elimu elimu elimuAcha nyege kwenye comment zangu.
R.I.Pelimu elimu elimu
Hata yesu alisema "farijianeni kwa maneno hayo" wacha wafarijiane ila kusema kweli HIV ni gonjwa la aibu sana.
WhyKuna hospitali binafsi ipo Singida nasikia hata ukiwa HIV positive majibu unapewa negative!!
Sielewi lengo ni nini? Na huo mchezo utakuwepo sehemu nyingi, pipo zichukue tahadhari
Sio kweliNilisikia watu wenye MIWAYA mnakuwaga wakali. Nimeamini sasa
Ukiwaza hivyo itakutesa sana, kikubwa sio kila mtu ajue kwamba una HIV, ila ni ugonjwa ambao hauna mateso but unaweza kuepukikaHata yesu alisema "farijianeni kwa maneno hayo" wacha wafarijiane ila kusema kweli HIV ni gonjwa la aibu sana.
Sio rahisi, kwanza siku ikikaribia unapigiwa simu hadi kero kukumbushwa tarehe yako, wanakufuatilia mpaka utajiona MfalmeHata ikija mkuu 😃😃
Pipo ni wagese watasahau tu kwenda kuchwa sindano😃😃😃
Witch hunter njoo huku jamaa anakushawishi ili umpige MabusuUkiwaza hivyo itakutesa sana, kikubwa sio kila mtu ajue kwamba una HIV, ila ni ugonjwa ambao hauna mateso but unaweza kuepukika
Ni wivu au kuna jambo? Makasiriko ya nini tena rafiki?Witch hunter njoo huku jamaa anakushawishi ili umpige Mabusu
Lete mrejeshoNilishapima huu mwaka ulipoanza, wiki hii nitaenda tena
Mungu anisaidie.
Unataka majibu yangu ya nini😂Lete mrejesho
Ili kujua tu utimamu wa afya zetuUnataka majibu yangu ya nini😂