Hamtaki wewe na nani? Jisemee wewe usitafute uungwaji mkono kwa maoni yako binafsi.Watu kama nyie hatutaki maoni yenu, zingatia maudhui ya uzi
#where we dare to talk openly.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamtaki wewe na nani? Jisemee wewe usitafute uungwaji mkono kwa maoni yako binafsi.Watu kama nyie hatutaki maoni yenu, zingatia maudhui ya uzi
Kwani UKIMWI bado upo?
Kuuliza sio ujinga.
Kenge kweli wewe.Mungu akujibu practically
Kenge kweli wewe.
Kuuliza sio ujinga.
Tuko 20 na wote tunatumia ID moja na kabla ya kupost tulishauriana,Una swali jingine?Hamtaki wewe na nani? Jisemee wewe usitafute uungwaji mkono kwa maoni yako binafsi.
#where we dare to talk openly.
DuhTuko 20 na wote tunatumia ID moja na kabla ya kupost tulishauriana,Una swali jingine?
Jiamini jombaa , shubamiitTuko 20 na wote tunatumia ID moja na kabla ya kupost tulishauriana,Una swali jingine?
cc Paw JamiiForums ActiveModerators badilisheni title ya uzi, ukimwi usomeke maambukizi ya VVU.
#LanguageSensitivity#
Noma sana!Shuhuda kama hizi ndizo zinaniaminisha ngoma ipo[emoji19]
Mbona kama mabogaa, itafutwe dawa yetu najua zipo miti shamba isaidie watuHii ni ARV ya asili.usiichukulie poa.inafubaza tuu lakini HAITIBU . botanical name is gotu colaView attachment 3221817
Hv upo kweli wewe rfk yanguKwanini?
Hii ngumu kweli chief, sometimes maisha yana fumbo kubwa.Loh...hii ngumu kumeza. Wachache wana guts.
Mkuu nikuulize, nini kilichochea wewe kupima?
dah we dogo miyeyusho kinyama, ko mi mzee wa masterbation 😆Wakwea Mnazi kwa Mkono mmoja nao wanaweza kuchangia experience zao jinsi walivyoepukana na huyu MGENI?
Nakala:
dronedrake
Intelligent businessman
acha uoga miaka 3 mingi we boya, kapime nusu albinoPole sana mkuu, binafsi sina na sijapima tangu mwaka 2022 kama sijakosea.
Tuchukue tahadhari kupima na kujikinga UKIMWI upo.
mererani hiyo, dingi mbona kinyonge arifu .Mgodi gani dingi
Unazani kuweza😊 njia ya kuogopa NGOMA ni kuepuka kupima in FID Q voice..acha uoga miaka 3 mingi we boya, kapime nusu albino
binafsi siugopi, na hata niki pata marafiki ve sina noma.Unazani kuweza😊 njia ya kuogopa NGOMA ni kuepuka kupima in FID Q voice..