Uzi maalumu kwa wote wanaohitaji mikopo mbalimbali ya kifedha

Uzi maalumu kwa wote wanaohitaji mikopo mbalimbali ya kifedha

hawa wanapatikana Dar maeneo gani.?
Dar es salaam wanapatikana Sinza ,si mbali na Africa Sana... Walianza na 10% riba kwa mwezi ila nasikia wameshusha.... muhimu uaminike katika chanzo cha kipato dhamana (hata kama ni vitu vya nyumbani)/Biashara n.k...

Binafsi nilishawatumia na kuna wakati nawatumia kwa dharura.. ukiaminika si wasumbufu..

tembelea Enterprise Finance LTD kwa uelewa zaidi

Ni hayo tu
 
Hi fans!naitaj mkopo ambao ata kama ntarudisha kwa riba!kwan sifa za kukopa nnazo nakopa kuanzia mil 1~5 kwa mtu yeyote anaeweza kufanya hivo anipm au 0719474102!nina shida ya haraka,natanguliza shukrAn
 
Nenda UTT Microfince posta wanatoa hiyo mikopo ya haraka ila sijui haraka yako ni ya kiasi gani kesho hiyohiyo ungepata
 
John Gelas mimi ni fan wako mkuu ntakuulizia sema tu utani mpesa kakitu kidogo kwaajili ya kufanikisha mkuu
 
Unakopa simple hivi.... Hey fans... Nahtaj mkopo.... Teh teh wabongo bana kweli hamnazo
 
Habari,

Ndugu zangu nimepatwa na tatizo la dharura nahitaji mkopo wa elfu 30. Marejesho baada ya wiki mbili, Riba asilimia 20, dhamana godoro jipya sijawahi kulalia la nne kwa sita.


Napatikana Mbeya vijijini maeneo ya Mbalizi, jinsia yangu mwanamke.
 
Back
Top Bottom