Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Ukiisoma zaburi hiyo na kuishika itakusaidia sana maana Bwana anapenda tunavyopeleka mahitaji yetu na haja zetu tuwe ni wasafi wa kiroho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmeenZaburi 51:1-19
Ee Mungu, unirehemu, kulingana na fadhili zako. Kiasi cha wingi wa rehema zako, Uyafute makosa yangu. Unioshe kabisa uovu wangu, Unitakase dhambi zangu. Maana nimejua mimi makosa yangu Na dhambi yangu iko mbele yangu daima. Nimekutenda dhambi Wewe peke yako, Na kufanya maovu mbele za macho yako. Wewe ujulikane kuwa una haki unenapo, Na kuwa safi utoapo hukumu. Tazama, nikazaliwa nikiwa na hatia; Mama yangu akanichukua mimba nikiwa na dhambi. Tazama, wapendezwa na kweli iliyo moyoni; Nawe utanifundisha hekima kwa siri, Unisafishe kwa hisopo nami nitakuwa safi, Unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji. Unifanye kusikia furaha na shangwe, Mifupa uliyoiponda ifurahi. Usitiri uso wako usitazame dhambi zangu; Uzifute hatia zangu zote. Ee Mungu, uniumbie moyo safi, Uifanye upya na kuithibiti roho yangu. Usinitenge na uso wako, Wala roho yako mtakatifu usiniondolee.
Bwana Yesu asifiweMungu ametupa kibali tena siku ya Leo kukutana mahali hapa
Tunahitaji kupeleka haja zetu kwake yeye ni Mungu mwenye rehema nyingi
Siku ya Leo tunakutana kwaajili ya kuomba mahitaji ya kibinafsi kila mtu ataomba jambo ambalo anataka Mungu amtendee
AminZaburi 143:8
[8]Unifanye kusikia fadhili zako asubuhi,
Kwa maana nimekutumaini Wewe.
Unijulishe njia nitakayoiendea,
Kwa maana nakuinulia nafsi yangu.
Zaburi 16:7Amin
Nipe mstari mwingine tena