Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

Tuombe

Mungu mpendwa, tunaweka wasiwasi wetu mikononi mwako. Tunamuweka mgonjwa wetu Ushimen mikononi mwako na tunakuomba kwa unyenyekevu urudishe afya ya mtumishi wako tena. Zaidi ya yote, tupe neema ya kukiri mapenzi yako na kujua kwamba chochote unachofanya, unafanya kwa ajili ya upendo wetu.

Tunazikataa roho za mauti na mabaya
KWA DAMU YAKO YESU KRISTO ULIYE HAI
zisifanikiwe kwa rafiki yetu Ushimen

Ee Bwana umesema katika Neno lako
Luka 10:19
Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.

Tunazikanyaga kazi zote na mipango yote ya shetani
KWA DAMU YAKO YESU KRISTO ULIYE HAI

isifanikiwe kwa rafiki yetu Ushimen

Ee Bwana uendelee kumpigania na kumficha chini ya mbawa zako ili apone arudi kuendelea na majukumu yake

Amina

Zaburi 23:4
Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti,
Sitaogopa mabaya;
Kwa maana Wewe upo pamoja nami,
Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.
.
 
Tuombe

Mungu mpendwa, tunaweka wasiwasi wetu mikononi mwako. Tunamuweka mgonjwa wetu Ushimen mikononi mwako na tunakuomba kwa unyenyekevu urudishe afya ya mtumishi wako tena. Zaidi ya yote, tupe neema ya kukiri mapenzi yako na kujua kwamba chochote unachofanya, unafanya kwa ajili ya upendo wetu.

Tunazikataa roho za mauti na mabaya
KWA DAMU YAKO YESU KRISTO ULIYE HAI
zisifanikiwe kwa rafiki yetu Ushimen

Tunazikanyaga kazi zote na mipango yote za shetani
KWA DAMU YAKO YESU KRISTO ULIYE HAI

isifanikiwe kwa rafiki yetu Ushimen

Ee Bwana uendelee kumpigania na kumficha chini ya mbawa zako ili apone arudi kuendelea na majukumu yake

Amina

Zaburi 23:4
Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti,
Sitaogopa mabaya;
Kwa maana Wewe upo pamoja nami,
Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.
.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Tuombe

Mungu mpendwa, tunaweka wasiwasi wetu mikononi mwako. Tunamuweka mgonjwa wetu Ushimen mikononi mwako na tunakuomba kwa unyenyekevu urudishe afya ya mtumishi wako tena. Zaidi ya yote, tupe neema ya kukiri mapenzi yako na kujua kwamba chochote unachofanya, unafanya kwa ajili ya upendo wetu.

Tunazikataa roho za mauti na mabaya
KWA DAMU YAKO YESU KRISTO ULIYE HAI
zisifanikiwe kwa rafiki yetu Ushimen

Tunazikanyaga kazi zote na mipango yote za shetani
KWA DAMU YAKO YESU KRISTO ULIYE HAI

isifanikiwe kwa rafiki yetu Ushimen

Ee Bwana uendelee kumpigania na kumficha chini ya mbawa zako ili apone arudi kuendelea na majukumu yake

Amina

Zaburi 23:4
Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti,
Sitaogopa mabaya;
Kwa maana Wewe upo pamoja nami,
Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.
.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Ee Bwana, Mungu wetu
Baba yetu mpendwa

Tunakusifu na tunakuabudu wewe peke yako hatuna miungu mingine ila ni wewe tu tunalihimidi jina lako Takatifu kwa maana uweza na hekima zote ni zako

Tumekuja mbele zako asubuhi hii ya leo tunakushukuru kwa kuendelea kutupa afya njema na uzima na kibali
Bwana tunaomba rehema zako mana ulisema wewe

Zaburi 145:8
BWANA ana fadhili, ni mwingi wa huruma,
Si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema,

Tumekuja mbele zako asubuhi hii ya leo kwa unyenyekevu tunamuweka mikononi mwako rafiki yetu Ushimen ambaye alipata ajali na yupo katika hali mbaya anahitaji huruma zako tu mana ni wewe peke yako Bwana ndiye utakayeweza kumuokoa pesa zake na mali zake haziwezi kufanya jambo lolote kwake ila ni wewe tu Mungu umesema katika Neno lako wewe ndiye mwokozi hakuna mwingine baba tunakuomba ukajidhihirishe ukuu wako juu yake Ushimen kama ulivyomuokoa Daniel

Tunakuomba wewe tu kwa sababu ndiye umetuhaidi tutashinda za zaidi ya kushinda katika magumu yetu tunaomba juu ya mpendwa wetu ukamshindie magumu yake Ushimen mana umesema

Warumi 8:37
Lakini katika mambo hayo yote tunashinda, na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda.

Ni wewe peke yako Mungu mana ndiwe uliye mkuu juu ya miungu
Umesema ni wewe peke yako ndiwe mtenda miujiza Leo hii tupo mbele yako tunakuomba kwa unyenyekevu juu ya mpendwa wetu Ushimen ambaye amepata ajali Hana msaada mwingine ila ni wewe tu Yehova

Zaburi 86:10
Kwa kuwa ndiwe uliye mkuu,
Wewe ndiwe mfanya miujiza,
Ndiwe Mungu peke yako.

Tunamuweka mikononi mwako rafiki yetu Ushimen
KWA DAMU YA YESU KRISTO ULIYE HAI

Ee Bwana tunakuomba Tafadhali weka mikono yako ya uponyaji juu ya Ushimen Mletee nishati ya uponyaji. Msaidie apone kimwili, kiakili kihisia-moyo na kiroho. Tuma malaika wako wa uponyaji na waache wajaze mwili na roho yake na upendo wako wa uponyaji
Wote tuseme

Amina
 
Bwana Yesu asifiwe
Leo tunakutana hapa Mungu ametupa kibali ili tumshukuru kwa yote aliyotutendea siku iliyopita
Basi siku ya Leo tutakuwa na maombi yakumpa Mungu shukrani na sifa
 
Inshallah

Mwenyezi mungu mwng wa rehema naomba siku ya Leo ikawe yenye heri na baraka
 
Qur'an 2:201: ...Ewe Mola wetu! Tupe mema katika dunia hii na mema katika Akhera, na utulinde na adhabu ya Moto
 
Shalom shalom
Bwana Yesu asifiwe
Siku nyingine tena Mungu ametupa afya njema na kibali ili tuendelee kumtafuta na kumtumikia

Wote wenye changamoto ya kifya Mungu aendelee kuwapigania yeye ndiye mwokozi haijawahi kushindwa na jambo lolote

Siku ya Leo tutakuwa na maombi ya kuomba kufunguliwa baraka na neema katika kila jambo na mipango tunayotegemea kuifanya kwa wiki zima ili Mungu akatupe kibali
karibuni mahali hapa tujipatanishe na Bwana Yesu
 
Shalom shalom
Bwana Yesu asifiwe
Siku nyingine tena Mungu ametupa afya njema na kibali ili tuendelee kumtafuta na kumtumikia

Wote wenye changamoto ya kifya Mungu aendelee kuwapigania yeye ndiye mwokozi haijawahi kushindwa na jambo lolote

Siku ya Leo tutakuwa na maombi ya kuomba kufunguliwa baraka na neema katika kila jambo na mipango tunayotegemea kuifanya kwa wiki zima ili Mungu akatupe kibali
karibuni mahali hapa tujipatanishe na Bwana Yesu
AMINA
 
Mungu Baba, ninaomba ubariki ujio wangu na kuondoka kwangu leo. Uwe mbele yangu, nyuma yangu, na kando yangu - unilinde na unielekeze kwenye yale yatakayo nikurubisha kwako. Baba Mpendwa, ibariki familia yangu kwa amani leo.
Hesabu 6:24-26
 
Mungu ulie juu, ni siku nyingine tena....asante kwa baraka ya kuiona siku nyingine. Maombi yetu yanakuendea kwa niaba ya wale wote tunaowapenda na kuwajali, tukiomba kwamba uwabariki wao, afya zao, kazi za mikono yao na kushughulikia mahitaji yao. Neema yako itutegemeze tunapokunywa vikombe vyako vya amani na furaha. Tunawaombea wagonjwa wote pamoja na wale wanao hitaji uwepo wako Mungu mwenye nguvu... nenda ukawaponye na kuwabariki asubuhi ya leo.
Baba tunaomba hayo kwajina la Baba na Mwana na Roho mtakatifu... Amen...🙏
 
Shalom shalom
Bwana Yesu asifiwe
Siku nyingine tena Mungu ametupa afya njema na kibali ili tuendelee kumtafuta na kumtumikia

Wote wenye changamoto ya kifya Mungu aendelee kuwapigania yeye ndiye mwokozi haijawahi kushindwa na jambo lolote

Siku ya Leo tutakuwa na maombi ya kuomba kufunguliwa baraka na neema katika kila jambo na mipango tunayotegemea kuifanya kwa wiki zima ili Mungu akatupe kibali
karibuni mahali hapa tujipatanishe na Bwana Yesu
Amina
 
Mungu uliyetuumba Asante kwa baraka zako unazotupatia tangu ulipotuumba. Asante kwa baraka ya afya na uhai. Ninaomba utusamehe uovu wetu wote na uuweke mbali na sisi sawa sawa na neno lako. Ninaomba ututakase kwa damu ya Yesu Kristo iliyomwagika kwa ajili ya dhambi zetu. Roho wako atuongoze katika kutenda mema.
Baba unajua mahitaji yetu kila mmoja. Anayehitaji kazi, anayehitaji chakula, anayehitaji uponyaji wa kimwili, anayehitaji Ada, anayehitaji Amani wote unatujua inaomba ukatupatie sawa sawa na mapenzi yako.
Katika jina la Yesu Amen
 
Bwana Yesu asifiwe
Ni siku nyingine tena Mungu ametupa kibali kukutana mahali hapa naomba tum
 

Zaburi 51:1-19​

Ee Mungu, unirehemu, kulingana na fadhili zako. Kiasi cha wingi wa rehema zako, Uyafute makosa yangu. Unioshe kabisa uovu wangu, Unitakase dhambi zangu. Maana nimejua mimi makosa yangu Na dhambi yangu iko mbele yangu daima. Nimekutenda dhambi Wewe peke yako, Na kufanya maovu mbele za macho yako. Wewe ujulikane kuwa una haki unenapo, Na kuwa safi utoapo hukumu. Tazama, nikazaliwa nikiwa na hatia; Mama yangu akanichukua mimba nikiwa na dhambi. Tazama, wapendezwa na kweli iliyo moyoni; Nawe utanifundisha hekima kwa siri, Unisafishe kwa hisopo nami nitakuwa safi, Unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji. Unifanye kusikia furaha na shangwe, Mifupa uliyoiponda ifurahi. Usitiri uso wako usitazame dhambi zangu; Uzifute hatia zangu zote. Ee Mungu, uniumbie moyo safi, Uifanye upya na kuithibiti roho yangu. Usinitenge na uso wako, Wala roho yako mtakatifu usiniondolee.
 
Back
Top Bottom