Uzi maalumu; Machine zinazotengenezwa hapa nchini

Uzi maalumu; Machine zinazotengenezwa hapa nchini

Mashine ya tofali hizi tofali nne, nane na kuendelea hutumia hydraulic system
IMG-20180306-WA0007.jpeg
IMG-20180306-WA0010.jpeg
 
Mkuu kuna mdau nyuma alitoa comment kuuliza Kwa nini Mashine za kusaga na kukimbia hamjaboresha tangu miaka ya nyuma.

Kwenye hizo mashine za kusaga na za kuchanganya zege. Mngeongeza teknolojia ya kuweka sensor za kupima uzito wa mzigo kwenye hicho kinu ili kumrahisishia mtumiaji kujua uzito wa atakachosaga kabla ya kuwasha mashine.
Asante sana mkuu nilimjibu na aliridhika na jibu ila kwa kurudia tukianza na mashine za kusaga nikuulize umewahi kumiliki au kuziona za kutoka nje na changamoto wanazopata?
Mashine za kusaga ya nje na ya hapa huwezi kuzilinganisha sisi zinajituma katika kazi
Changamoto kuu na ambayo wengi hukimbilia za nje ni gharama lakini baada ya muda husumbua hurudi za hapa hapa

Na kitu kingine kwenye mashine za kusaga kuna watu nikikupa mwaka wa kumi huu sijapata lalamiko lao wengine mitano katulia KITU KIKUBWA AMBACHO NIKUSHAURI
USIKIMBILIE KILA MTU ANAYETENGENEZA MASHINE JIHAKIKISHIE ANATENGENEZA KWA UBORA
na ukiweza muone hata jirani yako ametengenezea wapi
Ukikosa njoo kwetu tukutengenezee mashine imara na bora za kusaga

0763542515sms/call

Hili la sensor tunalipokea japo kwa wale wanaohitaji mashine zenye automation sensor ndio zinawekwa asante sana kwa ushauri karibu sana
 
Asante sana mkuu nilimjibu na aliridhika na jibu ila kwa kurudia tukianza na mashine za kusaga nikuulize umewahi kumiliki au kuziona za kutoka nje na changamoto wanazopata?
Mashine za kusaga ya nje na ya hapa huwezi kuzilinganisha sisi zinajituma katika kazi
Changamoto kuu na ambayo wengi hukimbilia za nje ni gharama lakini baada ya muda husumbua hurudi za hapa hapa

Na kitu kingine kwenye mashine za kusaga kuna watu nikikupa mwaka wa kumi huu sijapata lalamiko lao wengine mitano katulia KITU KIKUBWA AMBACHO NIKUSHAURI
USIKIMBILIE KILA MTU ANAYETENGENEZA MASHINE JIHAKIKISHIE ANATENGENEZA KWA UBORA
na ukiweza muone hata jirani yako ametengenezea wapi
Ukikosa njoo kwetu tukutengenezee mashine imara na bora za kusaga

0763542515sms/call

Hili la sensor tunalipokea japo kwa wale wanaohitaji mashine zenye automation sensor ndio zinawekwa asante sana kwa ushauri karibu sana
Tupo pamoja mkuu Mimi ni muumini wa bidhaa za kutengenezwa hapa nchini na modifications.

Mwaka Jana nilikuwa nataka kutengeneza Compressor Mashine ya kuunga unga, jamaa yangu alikuwa na kichwa cha Compressor ya Fiat. Nilitafuta mtungi wa upepo, na Mota ili nifanye modification ili niwe nafua upepo na kutunza katika mtungi mkubwa.

Kama utakuwa na connection ya kupata mtungi mkubwa angalau wa kuanzia 150L au 200L nitakutafuta tufanye Kazi.
 
Tupo pamoja mkuu Mimi ni muumini wa bidhaa za kutengenezwa hapa nchini na modifications.

Mwaka Jana nilikuwa nataka kutengeneza Compressor Mashine ya kuunga unga, jamaa yangu alikuwa na kichwa cha Compressor ya Fiat. Nilitafuta mtungi wa upepo, na Mota ili nifanye modification ili niwe nafua upepo na kutunza katika mtungi mkubwa.

Kama utakuwa na connection ya kupata mtungi mkubwa angalau wa kuanzia 150L au 200L nitakutafuta tufanye Kazi.
Naamini vinaweza kupatikana mkuu ni kutafuta tu karibu 0763542515
 
HABARI ZA JUMATATU WAJASIRIAMALI LEO TUNAIELEZEA MASHINE ZA KOKOTO

Mashine ya kutengeneza kokoto hapa hufuatana na mteja anahitaji iwe na conveyor (mkanda maalumu wa usafirishaji kokoto kutoka kwenye kinu)

Bila conveyor mashine kubwa ni million 17 hii ni tani 9-12 kwa saa

Gharama ya conveyor ni million saba kwa hiyo mashine ya kokoto ikiwa na conveyor ni million 24

KAMA MAHITAJI NI CHINI YA TANI 10 PIA INATENGENEZWA NA GHARAMA HUPUNGUA HAPA NI MTEJA KUTUTEMBELEA PESA ALIYONAYO HUFANYIWA HESABU ZA VIFAA



SIZE YA KOKOTO
Hapa size ya kokoto huanzia 0.5inch na kutegemea hitaji la mteja maana kinu huwekewa adjustment knob kutokana na size yako

Hizi hapa chini size mbalimbali na mashine ya kokoto



Mfumo wa uendeshaji upo namna mbili umeme au mfumo wa mafuta (diesel engine)

Mhitaji wa hizi mashine nashauri kututembelea tushauriane kwanza gharama hutegemea uzalishaji wengi huwa ni tani moja au mbili huyu gharama yake ni za kuelewana
images%20(5).jpeg
images%20(6).jpeg
images%20(7).jpeg
images%20(8).jpeg
images%20(4).jpeg
IMG_20210115_110456_463.jpeg
download.jpeg
download%20(1).jpeg
images%20(14).jpeg
IMG_20210115_110456_461.jpeg
 
Why hazipendezi kimuonekano kama machine za watu wa nchi zilizoendelea?

Machine zina Nondo humo humo bati zinajaa kutu zimepinda pinda kama meli za Iran, Rangi inapigwa hovyohovyo tu...
sijui hana kama wanatumia vipimo kisawasawa... am sure mashine zinaweza kuwa za aina moja but uzito utapishana
 
Why hazipendezi kimuonekano kama machine za watu wa nchi zilizoendelea?

Machine zina Nondo humo humo bati zinajaa kutu zimepinda pinda kama meli za Iran, Rangi inapigwa hovyohovyo tu...
sijui hana kama wanatumia vipimo kisawasawa... am sure mashine zinaweza kuwa za aina moja but uzito utapishana
Mkuu wenzetu finishing wapo vizuri sana kutokana na uwingi wa mashine kuliko kufanya kwingi kwa mkono
Angalia hizo za miwa muonekano ya hapa na nje
IMG_20200826_153847.jpeg
IMG_20200708_170916.jpeg
 
HABARI ZA JUMATATU WAJASIRIAMALI LEO TUNAIELEZEA MASHINE ZA KOKOTO

Mashine ya kutengeneza kokoto hapa hufuatana na mteja anahitaji iwe na conveyor (mkanda maalumu wa usafirishaji kokoto kutoka kwenye kinu)

Bila conveyor mashine kubwa ni million 17 hii ni tani 9-12 kwa saa

Gharama ya conveyor ni million saba kwa hiyo mashine ya kokoto ikiwa na conveyor ni million 24

KAMA MAHITAJI NI CHINI YA TANI 10 PIA INATENGENEZWA NA GHARAMA HUPUNGUA HAPA NI MTEJA KUTUTEMBELEA PESA ALIYONAYO HUFANYIWA HESABU ZA VIFAA



SIZE YA KOKOTO
Hapa size ya kokoto huanzia 0.5inch na kutegemea hitaji la mteja maana kinu huwekewa adjustment knob kutokana na size yako

Hizi hapa chini size mbalimbali na mashine ya kokoto



Mfumo wa uendeshaji upo namna mbili umeme au mfumo wa mafuta (diesel engine)

Mhitaji wa hizi mashine nashauri kututembelea tushauriane kwanza gharama hutegemea uzalishaji wengi huwa ni tani moja au mbili huyu gharama yake ni za kuelewana View attachment 1680128View attachment 1680129View attachment 1680130View attachment 1680131View attachment 1680132View attachment 1680133View attachment 1680134View attachment 1680136View attachment 1680137View attachment 1680138

Mashine ya tani moja ni sh ngp?
 
Back
Top Bottom