Hapana mkuu hizo sio tofali za kuchoma Bali ni tofali za udongo na cement tutakufundisha namna ya kuzitengeneza ziwe katika muonekano huo karibu sana 0763542515
Kabisa mkuu pia hata bila kuungana unaweza kuanzia na mashine ya tofali za mkono kikubwa utoe tofali nzuri na bora kuna vitu vya kuzingatia likaelekeana kama anaetumia mashine ya umemeSasa naamini tupo uchumi wa kati. Vijana wakiungana wanaweza kununua mashine za kufyatua tofali na kuanza mradi
Hapa cement moja unamaanisha mfuko ama?Ukichanganya cement moja na udongo inaweza kutoa tofali ngapi kwa makadirio?
Hapa cement moja unamaanisha mfuko ama?
Inategemea mkuu ila range yake inaweza kuwa tofali 140-160 nadhani tuliowatengenezea au kuwa nazo wataliweka sawaYes kaka,kg50
Karibu sana na TunashukuruUzi mzuri sana
Mkuu kuna incubator za umeme je inawezekana kubadilisha ili itumie gas?Karibu sana na Tunashukuru
Kaka ntumie picha za mixer ya mchanga,,,namaaansha vibrator na Bei take na mnapatikana WAP ntumie na namba zakoHapa kwenye mapanga sehemu sana kwenye setting mashine ya kusagaView attachment 1683581View attachment 1683582View attachment 1683583
La sensor ndilo lilikuwa swali lake. Lililotangulia nalo hukulijibu. Nadhani hujalielewa. Unakimbilia kuzungumzia uimara wa mashine zenu zenye finishing ya hovyo kabisa. Hilo nawe pia umekiri. Esthetics sifuri. Hamko serious! Ni jambo linalowezekana kwa watu makini. Linachangia kufukuza baadhi ya wateja watarajiwa!Asante sana mkuu nilimjibu na aliridhika na jibu ila kwa kurudia tukianza na mashine za kusaga nikuulize umewahi kumiliki au kuziona za kutoka nje na changamoto wanazopata?
Mashine za kusaga ya nje na ya hapa huwezi kuzilinganisha sisi zinajituma katika kazi
Changamoto kuu na ambayo wengi hukimbilia za nje ni gharama lakini baada ya muda husumbua hurudi za hapa hapa
Na kitu kingine kwenye mashine za kusaga kuna watu nikikupa mwaka wa kumi huu sijapata lalamiko lao wengine mitano katulia KITU KIKUBWA AMBACHO NIKUSHAURI
USIKIMBILIE KILA MTU ANAYETENGENEZA MASHINE JIHAKIKISHIE ANATENGENEZA KWA UBORA
na ukiweza muone hata jirani yako ametengenezea wapi
Ukikosa njoo kwetu tukutengenezee mashine imara na bora za kusaga
0763542515sms/call
Hili la sensor tunalipokea japo kwa wale wanaohitaji mashine zenye automation sensor ndio zinawekwa asante sana kwa ushauri karibu sana
Ndg, hapa maomba maelezo kidogo kuhusu utofauti wa Hydraform na Interloking block na ipi bora zaidi? na je mnatoa mafunzo yoyote kuhusu matumizi ya hizo mashine juu ya ufwatuaji wa matofari?Mashine za tofali za udongo hapa zipo aina mbili interlocking machine
Na hydrafoam mashine
Interlocking hii laki saba na nusu tu
Na hydrafoam laki saba tuView attachment 1674779View attachment 1674782View attachment 1674783View attachment 1674784View attachment 1674785
Hizi utatengenezewa mkuu karibu sanaMna mashine za kutengeneza hizi hollow block? View attachment 1702929
Utafundishwa kila kitu mkuu baada ya kuinunua mashine kwetu utofauti upo hasa katika sizeNdg, hapa maomba maelezo kidogo kuhusu utofauti wa Hydraform na Interloking block na ipi bora zaidi? na je mnatoa mafunzo yoyote kuhusu matumizi ya hizo mashine juu ya ufwatuaji wa matofari?
Mkuu nashukuru kwa kuelewa na baadhi hujaelewa finishing sio uimara wa mashine pia kwenye sensor hilo nilijibu inawezekana hakuna mashine inayoweza kugoma sensor husika ni hitaji la kila mtu ukiwa serious karibuLa sensor ndilo lilikuwa swali lake. Lililotangulia nalo hukulijibu. Nadhani hujalielewa. Unakimbilia kuzungumzia uimara wa mashine zenu zenye finishing ya hovyo kabisa. Hilo nawe pia umekiri. Esthetics sifuri. Hamko serious! Ni jambo linalowezekana kwa watu makini. Linachangia kufukuza baadhi ya wateja watarajiwa!
Swali ambalo hukuelewa hili hapa. Ni muda mrefu sasa hizi mashine za kukoboa na kusaga zimebaki vilevile. Hakuna mabadiliko licha ya kukua kwa teknolojia. Tulianza na mashine za kusaga tu. Kuna jambo la hatari likatokea. Kulikabili ukaja mfumo wa kukoboa. Lengo si kupata unga mweupe. Wanaorudia dona kirahisi ni tatizo la nusu elimu. Leo sio mada yangu kwa Kijana Mpole.
Kwako ni hivi. Baada ya kukoboa unakuwa na mahindi ya makande/yaliyokobolewa na pumba. Tatizo ni kwamba kwenye pumba kuna mapepe, vumbi na kiini. Pumba haifai kwa chakula cha binadamu. Linganisha na kumenya yai ukatupa ganda na kiini cha yai. Unabaki na ile sehemu nyeupe tu. Sembe hiyo!
Licha ya kukua kwa teknolojia tumebaki na mashine zinazotoa sembe na pumba yenye kiini. Wapenzi wa dona wanarudia kiini. Hatari hawaioni na hawaijui. Kijana Mpole waokoe wasile na pumba. Kwenye pumba kuna hatari iliyokimbiwa kwa kukoboa. Wameirudia wajinga hao. Waokoe kwa kukoboa na kubakiza mahindi ya makande na kiini chake. Kuwepo tu ugomvi kati yako na wafuga mbuzi katoliki!
Karibu sana itafuatana na size mkuu unayotaka nitafute tuongee 0763542515Kinu cha kupukuchua mahindi bila mashine napata kwa bei gani, wakati wa kupukuchua nitaunganisha PTO ya Trekta
Karibu mkuu japo nimeziweka ila hizi hapa chini karibu sana tupo tabataKaka ntumie picha za mixer ya mchanga,,,namaaansha vibrator na Bei take na mnapatikana WAP ntumie na namba zako