Uzi maalumu; Machine zinazotengenezwa hapa nchini

Uzi maalumu; Machine zinazotengenezwa hapa nchini

Nahitaji mnitengenezee mashine ya kulimia yenye jembe 3.

Note: sio trekta
 
TUNAENDELEA NA MASHINE ZA CHAKI

mashine za kutengeneza chaki hizi zipo aina mbili ya umeme au ya mkono au manual

Mashine ya mkono au manual ni kuanzia tundu 100 hii ni million moja na laki mbili tu
Na hapa inategemea iwekewe stand au kawaida



Na kadri inazidi kuwa na matundu mengi ndipo mfumo wa umeme unahitajika maana itakuwa na mixer yake karibu 0763542515View attachment 1675037View attachment 1675039
Vifunshio vyake vinapatikana wapi mkuu. Baada ya kumaliza kuzalisha ni vyema nikajua vifungashio wap hupatikana
 
Sijaona mashine za kukamua mafuta ya alizeti au zenyewe hamtengenezi?
 
Kudos Bingwa na Hongera VETA
Kwa definition ya mzungu, nyinyi ndio real Engineers
You come with concept, you design, and you make it, Bravo....
Nawatakia kazi njema.....
 
Unahitaji mashine ya kusaga Kokoto karibu sana kwetu 0763542515
download-1.jpeg
 
Hujaelezea mashine ya kukausha dagaaa Wala Bei yake hujaweka. Pia hujaweka kabsa mashine ya kukamua alizeti.
Mashine ya kukausha dagaa ina uzi wake kabisa angalia nyuzi zangu zote ina maelezo ya kutosha na mtu tuliyemtengenezea kabisa ilienda mwanza
 
Back
Top Bottom