Uzi maalumu: Mtakie asubuhi njema umpendaye hapa JF na kumpa baraka za kuanza siku njema

Uzi maalumu: Mtakie asubuhi njema umpendaye hapa JF na kumpa baraka za kuanza siku njema

Charty popote ulipo uwe na asbuh njema na kazi zako ziende mubashara .
 
But kwa ujumla Dada zangu wote wa umu nfani nawapenda sana Bwana awe nanyi kwa sku ya leo penye ugumu akapate kuwalegezea hili mambo yenu yakawe safi.
 
Asubuhi njema cha mdeko
c27f72eda358d447612bb76db69cbc7a.jpg
hii Kitanda imenifanya mbaya Leo mpaka saivi sijaamka nimechelewa kusalimia asubuhi kaka angu

Mbona hujanipigia simu mpaka nimepitiwa kiasi hiki Jamanii
 
Ngoja niangalie missed call maana Nimeamka nikakimbilia jf
Asubuhi ni zawadi ambayo tunapaswa kujivunia.
Anza kwa kutabasamu na kila kitu/jambo zuri litafuatia.

Asubuhi njema cha mdeko
[emoji178] [emoji180] [emoji173] [emoji178] [emoji180] [emoji173] [emoji178] [emoji180]
[emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257]
 
Asubuhi ni zawadi ambayo tunapaswa kujivunia.
Anza kwa kutabasamu na kila kitu/jambo zuri litafuatia.

Asubuhi njema cha mdeko
[emoji178] [emoji180] [emoji173] [emoji178] [emoji180] [emoji173] [emoji178] [emoji180]
[emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257]
Ni jambo LA kumshukuru mungu kutupa Tena uzima kwa siku ya Leo Nikutakie asubuhi njema na Usisahau kwenda kusali
[emoji256] [emoji295]
[emoji256][emoji256]
[emoji256][emoji256][emoji256]
[emoji320] Have a
nice weekend!
 
Asubuhi njema wanamabadiriko wote popote mulipo, na sana sana Tundu Lissu. Mungu awe naw na familia yako yote.
 
Back
Top Bottom