Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mmmh,[emoji40] endelea tu kutumegea storyWabongo wanaenda si kwa kuspy
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh,[emoji40] endelea tu kutumegea storyWabongo wanaenda si kwa kuspy
Kumekucha baadhi ya maeneo lakin kwingineko bado ni usiku na kwingineko inaelekea mchana,
Katika kazi zangu nimepata bahati ya kukutana na dada mmoja jina ntamuita code name MNBQX
Huyu dada Tumekuwa naye katika kazi mbali mbali Kwa miaka minne iliyopita, na bahati nzuri huwa tunakutana mara Kwa mara , kulingana na nature ya kazi
Tumebahatika kuwa marafiki wa kawaida maana tunatokea ukanda mmoja wa Africa mashariki,
Baada ya kunizoea Sana na kugundua baadhi ya mambo kwake na yeye kugundua kwangu, kaamua kuuza timu,
Lakin kulingana na aina ya habari alizonipa inabidi niandike Kwa umakini Sana kuweza kuficha baadhi ya mambo,
Uzi huu utakuwa na update za mara Kwa mara kulingana na umakini wa kuedit alichoniambia na kutumia mbinu ya Hali ya juu kuwasilisha ujumbe bila kuweka bayana mambo yote wala wahusika kujulikana moja Kwa moja,
Lakin hii itakuwa somo Kwa Nchi zinazomzunguka Rwanda na wanaojipendekeza Kwa Rwanda ,
Kaa ukijua Rwanda ina agenda ya Siri ambayo si wanyarwanda wote wanajua
Asilimia 60 ya wanyarwanda ni ma spy na asilimia 70 ya wanyarwanda walio nje ya Rwanda ni ma spy katika mataifa waliopo,
Kwanini Rwanda afanye uspy? Hasa Kwa nchi hizi masikini kama Tanzania, Uganda ,Burundi na Kongo? Atafaidika nini? Yote hayo utayajua,
Miez Saba iliyopita nilibahatika kukaa na huyo mdada Kwa ajili ya story za kina Sana juu ya Rwanda , na nilimueleza baadhi ya mambo niliyogundua kwake , ilikuwa ngumu kuniambia na alisita na hakutaka na akabadili kabisa story kabisa,
Week moja baadae nikamkuta na reports ambazo zimeandikwa Kwa kinyarwanda, na mara zote anajua sijui au sielewi kinyarwanda,
Maelekezo hayo yalikua ya kutimiza mambo ndani ya Uganda wakati wa Uchaguzi mkuu ulio pita ,
Maeneo tajwa ni Kyengera, Busega kasese na nansana,..
Kwa chaguzi za Tanzania katajwa mchingaji mmoja R.I.P kukwamisha hatakati hizo,
Imetajwa Dodoma, karagwe , chalinze Dar es salaam , morogoro,
Katajwa Joseph Nimi alokamatwa pale hoteli mwanamboka,
Umetajwa mfumo wa kuhesabu Kura na technologia
Baadae akagundua naelewa kinyarwanda kulingana na habari nazo muuliza akaona nimeshajua mengi mno akaniweka wazi kwa kuwa anajua tuna mambo mengi tumefanya pamoja
Na ananitegemea Sana kukamilisha Jambo ilo
Akaniweka wazi kwamba Rwanda wakijikuta wakiitumia njia Inaitwa "kyambugu method" ili kufanikisha ushushushu maeneo mbali mbali Africa,
hapa wanaume ma handsome walitafutwa Kwa Hali na mali ili kuwatumia, na walikuwa na mvuto kweli wakawa wanatumwa nchi nyingine kuwatongoza wanawake masekretari/karani wa ofis mbali mbali na kupata taarifa sahihi kabisa wanazotaka, maana ilikuwa ngumu kuwatumia wadada kuomba kazi nchi hizo kwakuwa na ugumu wa uraia,
njia pekee ni kutumia wanaume wenye pesa, Vipaji na mvuto kukamilisha kazi hiyo pia kama waliona sehemu haiingiliki hao wanaume ma handsome walitumia marafiki wapya wa kike kiwafanikishia Hilo jukumu Kwa kutongoza wanaume ambao wapo katika office,
Mtu maarufu katika kuwapa mafunzo alisema " Ni Rwanda iliyofanikiwa katika mfumo wa kuwahusisha wanawake katika mbinu za kiujasusi na ushushushu katika africa, waliwafundisha wanawake njia za kujitongozesha katika wanaume, msichana huyu alendeleaa alielezea story moja kuhusu Rwanda na jinsi wanavyowapata wasichana warembo mnoo kuweza kutumika katika ushushushu Kwa kuangalia video za porn na kuangalia jinsi wanawake wanaweza kuwavutia wanaume Kwa njia mbali mbali,
Jinsi ya kujifanya wanafunzi wa chuo na kuseduce watu maarufu,
Serikali ya Rwanda Imewalipia mpaka Ada vyuo mbali mbali na kuishia katikati Kwa kisingizio cha Ada kukatika,
Wamekuwa wakitumika mipakani na kuwapenda maafisa uhamiaji mpaka wa ngazi za juu,
Anaendelea kueleza jinsi ambavyo wanaweza wakawa katika mahusiano na maafisa wa jeshi
Katika mafunzo yetu , wakufunzi wetu wamesisitiza Kwa mara kwamba sisi ni Askari na silaha ni ni miili yetu, Tulikuwa tiyari kusinzia na kila mwanaume ili tupate taarifa sahihi, na tumekuwa tunafanya kazi Kwa Oder hata kama hutaki ukipata maelekezo lazima utimize dhamira hiyo ,
Tumefundishwa mbinu nyingine nyingi kama za mawasiliano
Steganogrpahy ambayo sisi tuliita WEKENGE hii ni mbinu ya kuficha taarifa kama unawasiliana na mwenzako unatuma taarifa Kwa njia ya meseji kuna maneno yanavyowekwa mpaka wengine hawaelewi unamaanisha nini
Nakumbuka wakati wa Mwaka 2005 wa Tanzania tulipewa maelekezo nami nikawa miongoni mwa watu waliokwenda Tanzania tukapanga safari mpaka Rusumo baada ya kufika pale tukakubaliana .......
Itaendelea maana hapa kuna majina natafta jinsi ya kuyawasilisha
Nilinunua Bookshop ya pale town ya Kanisa pale Tabora.Msaada jinsi ya kupata hicho kitabu!
Unadhani kwann?Nimegundua wabongo wanaifuatilia Rwanda kuliko nchi yoyote ile afrika, humu jukwaani haipiti wiki lazima utaona uzi mpya kuhusu rwanda
Duuuuh mkuu hapa naomba uendelee kunijuza mie nmezaliwa mwk 2000 cjui mambo hayaaHivi wale Watanzania 13 waliodaiwa kuwa walikuwa ni ' Watafiti ' wa walikamatwa huko nchini Malawi wakidaiwa kufanya ' Spying ' waliachiwa au wapo ndani mpaka leo? Hivi kuna nchi barani Afrika ambayo imepenyeza mno ' Manjagu / Majasusi ' wake katika nchi nyingi tena za jirani yetu kabisa kama Tanzania? Leo kuna lipi la ajabu Wewe kuona Wanawake Warembo / Wanyange wa Kinyarwanda wanaifanyia ' Unjagu / Ujasusi ' Tanzania wakati hata Wewe Tanzania umepenyeza Watu wako tena Wanaume wengi wakijifanya Madereva wa Daladala na Wanawake wengi wakiwa ' Wasusi ' na wengi wao wapo mji Mkuu wa Kigali? Ukilijua hili basi jua mwenzako analijua lile na naomba niishie hapa tafadhali.
Hivi wale Watanzania 13 waliodaiwa kuwa walikuwa ni ' Watafiti ' wa walikamatwa huko nchini Malawi wakidaiwa kufanya ' Spying ' waliachiwa au wapo ndani mpaka leo? Hivi kuna nchi barani Afrika ambayo imepenyeza mno ' Manjagu / Majasusi ' wake katika nchi nyingi tena za jirani yetu kabisa kama Tanzania? Leo kuna lipi la ajabu Wewe kuona Wanawake Warembo / Wanyange wa Kinyarwanda wanaifanyia ' Unjagu / Ujasusi ' Tanzania wakati hata Wewe Tanzania umepenyeza Watu wako tena Wanaume wengi wakijifanya Madereva wa Daladala na Wanawake wengi wakiwa ' Wasusi ' na wengi wao wapo mji Mkuu wa Kigali? Ukilijua hili basi jua mwenzako analijua lile na naomba niishie hapa tafadhali.
Impact ya hz mambo zinachukua hadi miaka 30 ndio unaona haiwag harkaharaka tu kama unavyodhanihatujaina impacts zao mpk sasa.
Acha stori za kitoto
GoodUjajusi/spying networks ipo very complex. Rwanda wanaweza kutumia warembo wa Karatu ama wachagga kufanya spying without raising eyebrows. Kuitwa ni idara ya ujasusi ya Rwanda haimaanishi femme fatale wao lazima wawe watutsi. Hapana.
Ngoja ukue utaelewa
Mkuu kimeandikwa na nani? Tukikosa fanya piracy tuu piga picha vizuri au kiscan tupia humu tuone wanasemaje....Nilinunua Bookshop ya pale town ya Kanisa pale Tabora.
Hajui iloImpact ya hz mambo zinachukua hadi miaka 30 ndio unaona haiwag harkaharaka tu kama unavyodhani
hakuna kitu km hicho, labda kaa marekan ila kirwanda??!! uongo mtupuImpact ya hz mambo zinachukua hadi miaka 30 ndio unaona haiwag harkaharaka tu kama unavyodhani
Kila nchi ina Sera zake katika swala la usalama na pia utowaji wake wa taarifa katika swala la kiusalama sis kama tz tupo waz kutokana inch yetu ina wahamiaj weng haramu na wengne wako katika sehemu kubwa kubwa tu na hii ya kujiolea ovyo ovyo ni chanzo ukienda nch za wenzetu wewe kila wakati unafuatiliwa msiona mko salama mkienda ulaya hapana hamko salama muda wote under tracking na mashirika ya ujasusi.hakuna kitu km hicho, labda kaa marekan ila kirwanda??!! uongo mtupu
Watu wanawaoverate sana hawa Wanyarwanda...Kila siku nasema na nitaendelea kusema hao Wanyarwadwa hawana chochote cha kututisha....watarukaruka weee..mwisho wa siku ni sifuri tu....We are too big for them....Hawana threat yoyote kwetu si kiuchumi ama kiusalama.....Competitor wetu ni Kenya tu...tena nae mambo ya kiuchumi....Ndo maana threads nyingi humu kuhusu Wakenya huwa tunabishana nao kuhusu masuala ya kiuchumi....sababu we can compete.....Rwanda anaweza pambana na Burundi huko...au Kongo sababu kuna waasi....hakuna kitu km hicho, labda kaa marekan ila kirwanda??!! uongo mtupu