Uzi maalumu: Rwanda wanavyotumia wadada warembo katika uspy wao

Uzi maalumu: Rwanda wanavyotumia wadada warembo katika uspy wao

Watu wanawaoverate sana hawa Wanyarwanda...Kila siku nasema na nitaendelea kusema hao Wanyarwadwa hawana chochote cha kututisha....watarukaruka weee..mwisho wa siku ni sifuri tu....We are too big for them....Hawana threat yoyote kwetu si kiuchumi ama kiusalama.....Competitor wetu ni Kenya tu...tena nae mambo ya kiuchumi....Ndo maana threads nyingi humu kuhusu Wakenya huwa tunabishana nao kuhusu masuala ya kiuchumi....sababu we can compete.....Rwanda anaweza pambana na Burundi huko...au Kongo sababu kuna waasi....
[emoji106] [emoji120]
 
Watu wanawaoverate sana hawa Wanyarwanda...Kila siku nasema na nitaendelea kusema hao Wanyarwadwa hawana chochote cha kututisha....watarukaruka weee..mwisho wa siku ni sifuri tu....We are too big for them....Hawana threat yoyote kwetu si kiuchumi ama kiusalama.....Competitor wetu ni Kenya tu...tena nae mambo ya kiuchumi....Ndo maana threads nyingi humu kuhusu Wakenya huwa tunabishana nao kuhusu masuala ya kiuchumi....sababu we can compete.....Rwanda anaweza pambana na Burundi huko...au Kongo sababu kuna waasi....
We are too big kwao, ila sisi hatuko strategic kama wao.
Nakushauri, usiwa-underate Watusi hata kidogo. Ni watu hatari sana, wako too strategic hawa watu. Mipango yao haina tofauti na ya Waisrael. Lengo ni Kuongoza Afica Nzima.
 
Wea re too big kwao, ila sisi hatuko strategic kama wao.
Nakushauri, siwa-underate Watusi hata kidogo. Ni watu hatari sana, wako too strategic hawa watu. Mipango yao haina tofauti na ya Waisrael. Leo ni Kuongoza Afica Nzima.
[emoji106]
 
We are too big kwao, ila sisi hatuko strategic kama wao.
Nakushauri, usiwa-underate Watusi hata kidogo. Ni watu hatari sana, wako too strategic hawa watu. Mipango yao haina tofauti na ya Waisrael. Lengo ni Kuongoza Afica Nzima.
Pole sana kijana kwa kulishwa propaganda labda kama na wewe ni mmoja wao unataka kutulisha great thinker kwani wewe kabila gani
 
Wea re too big kwao, ila sisi hatuko strategic kama wao.
Nakushauri, siwa-underate Watusi hata kidogo. Ni watu hatari sana, wako too strategic hawa watu. Mipango yao haina tofauti na ya Waisrael. Leo ni Kuongoza Afica Nzima.
Wanyarwada hawana danger yoyote hapa tz, wako katika self survival in the midist of many enemies.....mna over rate them hawana lolote wala chochote ila tu hawapotizi asili yao... mie nimeishi nao, nimesoma nao mbona maisha yanatupiga wote vile vile.. wangekua on mission wangekua na development zaidi yetu.....stop intimidating people..wao ni watu wa kawaida kweli wengine wanatafuta waumme wakweli kweli muache ubaguzi don't think kila mnyarwada kuwa "white hen"
 
Hiyo mbinu hata USSR alitumia ila mwisho wake tuliuuon au wengin kuhadithiwa, time is the best FRIEND
Mbinu hii ilitumiwa na Wafilisti dhidi ya waisrael.

Kahaba Delila alipewa jukumu la kumpeleleza baunsa Samson mpaka akalegea na kutoboa siri na kutiwa nguvuni.

Hawa wanyarwanda sio wavunbuzi wa hii misheni, bali wamedandia tu.
 
Uhamiaji Pana shida sana kwa kweli kati ya idara ambayo naona ina lega lega basi ni Immigration, Bado nachimbua Kujua kiini cha tatizo apo, Ila Rwandese they scattered all over the africa, They are spies by natural Wako smart we have to agree this and knowing how they are we can deal with them smoothly, Nategemea Pia kama Wewe ni Mzalendo basi umesha zi alert idara zetu zenye dhamana na ulinzi zaidi angali Jukumu la kulinda taifa ni letu sote watanzania
 
AY KATOKA JUZI KUOA RWANDA.JE WANA AJENDA GANI NA MUZIKI WETU?AFU YULE NDIKUMANA NAE SI ALIMUOA UWOYA???
NGOJA NIMALIZIE BALIMI YANGU KWANZA
Siku hizi balimi sio mkojo mkuu twende zetu.
 
Rwanda kufanya uspy kwa nchi jirani ni kwa ajili ya kujihami tu mana hana uhakika wa kuishi hapo alipo kwa raha na amani,
Ila sio kwa lengo la kuzihujumu nchi jirani na km atakua ana malengo hayo basi atakua anajichimbia kaburi mwenyewe bila kujua
 
Pole sana kijana kwa kulishwa propaganda labda kama na wewe ni mmoja wao unataka kutulisha great thinker kwani wewe kabila gani
460487.jpg

Hii pekee yatosha.
Mimi Mtwa
 
Wanyarwada hawana danger yoyote hapa tz, wako katika self survival in the midist of many enemies.....mna over rate them hawana lolote wala chochote ila tu hawapotizi asili yao... mie nimeishi nao, nimesoma nao mbona maisha yanatupiga wote vile vile.. wangekua on mission wangekua na development zaidi yetu.....stop intimidating people..wao ni watu wa kawaida kweli wengine wanatafuta waumme wakweli kweli muache ubaguzi don't think kila mnyarwada kuwa "white hen"
You must be one of them. Kwa hakika, na inawezekana umejibadili kabila na kujiita Mnyambo.
 
Back
Top Bottom