Uzi maalumu: Rwanda wanavyotumia wadada warembo katika uspy wao

Mmh!
 
Mkuu Tanzania ni nchi makini sana wote hao wamejifunza kwetu. Na nchi nyingi za Africa zimejifunza uspay kutoka kwetu. Na ukiangalia viongozi wengi wa Africa wametokea bingo.
Porojo za mchana.HAKUNA umakini wowote,imebaki intelijensia ya kidaku tu ya kufuatilia "wapinzani.

Tulikuwa shule n.a. wanyarwanda wengi tu n.a. mmoja siku hizi ni afisa wa juu jeshini Rwanda.

Hata walio ktk utumishi n.a. wanajulikana asili yao hakuna hatua zinazochukuliwa,kisa wanaunga mkono mfumo (ccm).
 
Mleta mada nimekupenda sana uzalendo si lazima ufanye nini ndo huu,sababu nielewavyo hii pia ni hatari kuzidi WATANZANIA kwa msioelewa huwa kuna mpango wa siri wa kuifanya Rwanda kuwa moja ya taifa kubwa barani Africa na huu mpango haujapangwa kipindi cha kagame yeye mwenyewe kaukuta na anauendeleza na akitoka ajae kama ni mtusi lazima aendeleze.najua WASOMI UCHWARA WA BONGO watapinga sana japo ukiwauliza uhusiano uliopo baina ya UK,ISRAEL, USA,AUSTRALIA kwa nini uwe wa kudumu na wako tayari kumtetea mwenzao kwa jasho na damu? Natamani sana siku moja Rais wangu aeleze hadharani yeye ni Msukuma sawa asili yake ni wilaya ipi sababu wasukuma wa chato walihamia tu kabla ya Uhuru na si kwamba walikuwepo pale miaka yte
 
Hii hoja ni ya msingi sana watanzania walivyo wavivu wa kufikiri watachukulia blahblah sababu hata wasomi wa kibongo huwa sioni tofauti na hao wawaitao mbumbumbu,ni kweli Rwanda kuilinganisha na tz ni overrated lakini fikiria miaka 15 iliopita hyo nchi ilkuwa na ubavu wa kuikoromea Tanzania? na vipi ikipita miaka 15 tena mbele? tusiishi kwa mapokeo na hadithi za hapa na pale na wanaokatisha tamaa thread za namna hyo na hawa hawa watutsi waliojazana hapa nchini.moja ya madhara ya mizaha hii iliwakuta Uganda kwenye ile vita ya siku 6 zaidi ya askari 1500 waliuwa na wengine zaidi ya 200 walipotea hku wakipoteza vifaru na magari karibia ¾ je Uganda ni nchi ya kuadhirishwa kwa kiwango hicho? Ni lazima tukubali tulikosea na tunaendelea kukosea kwa wale msiojua watutsi hawakuhesabu mbantu kama ni binadamu na sishangai kuona EAC kuwa na viongozi ambao huenda asili yao ni huko,Mtikila aliujua vema mpango yaliyomkuta wachache mnayajua pia kwa wale mlioowa mtutsi hao watoto sio wenu.Mipango mingi wengi wanaijua lakini huwa nashangaa kwa nini hawachukui hatua? mfano DRC kuwa nchi mbili, sudani kuwa nchi mbili(tayari) Rwanda&Burundi kuwa nchi moja,kwa ajuae hizi habari japo kwa uchache bila shaka moyoni atakuwa anavuja machizi
 
Those are myths and hitorics. Kwani Rwanda imeanza mwaka jana? Acheni ku overexagulate ambitions za Rwanda. it's a poor African country like other African countries living in absolute poverty with shortage of land mass illiteracy no clean and safe water just struggling to survive. Hawana uwezo wakifedha wakijeshi au kitekinolojia kudhubutu eti watawala Africa nzima it's being unrealistic and over ambitious.
 
Baambie ...wale mlioowa mtutsi hao watoto sio wenu......Wanapigiwa na mashemeji zao hao. Wageni wa kiume hupangiwa kuja na kula mizigo siku za hatari (Za kuweka mimba). Mifano ipo. Na watoto huaminishwa kuwa Rwanda ni Sehemu bora kuliko sehemu yoyote ile Duniani.
 
huyo Mchungaji R.I.P huko aliko nadhani baada ya yeye kutaja mikakati husika wakati tunaelekea kwenye uchaguzi mikakati ile haikuwahi kukwama imefanikiwa sana na kwahilo Rwanda imeshinda, natamani sana mtu huyu angekuwepo kwani alikuwa mstari wa mbele kutibua na kutaja mikakati mbalimbali na alikuwa anajua watanzania wengi ambao wamekabidhiwa zamana katika maeneo nyeti ya nchi wengi wao wametokea Rwanda.
 
Wambie watanzania tusizidishe woga
 
Ni kama vile the whole of Rwandan population ni members employed kama Rwandan Secret Service...


Hii ni uongo mkubwa!

Haka kanchi kapo overrated sana!

Sidhani kama hii tabia ya kukuza vitu inawasaidia Warwanda!Kuza kuza mambo tu ambapo mwisho wa siku ni uongo uongo tu!
 
Huyu hajui hata Malawi Banda alitolewa na nani?
 
nampata huyo bwana k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…