Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mkisafiri bus za mwanza na shinyanga na simiyu na geita huko mtakoma. Unapanda bus kuna wasukuma karibia wote, saba hivi wamefungulia redio kwa sauti wanasikiliza vitu tofauti tofauti. Na bus lina redio inaongea. Mwingine kafungulia tekno lake la betri kubwa na spika ya kelele anasikiliza nyimbo za kisukuma, mwingine mpira, mwingine diamond platnumz, mwingine vanny boy. Yani ile mijamaa inakera aisee. Na haikubali kuzima. Wageni mnateseka wenyeji hawana shida hata kidogo.Kweli kabisa mkuu. Na unakuta mwingine anaongea upuuzi tu na kuwa kero kwa wengine. Ustaarabu wa kijamii na jambo la muhimu sana.
Kuna kula na kula ovyo.Hata kula mnataka kutukataza???🙄🙄
Cheo cha wapiNa wengine hadi wanataja cheo chako na kuanza kukutangaza kwa watu wakati wewe hujawahi kuwaambia. Wanaudhi wee acha tu!! Unakuta umekaa mahali unapiga stori na jamaa zako hata hawajui unafanya kazi gani.......wengine wanahisi wewe ni mtu wa Usalama wa Tiafa........halafu anakuja mpuuzi mmoja kuropoka cheo chako hadharani 😀 😀 😀 😀 😀
Kuna kula sikatai, ila kutafuta tafuna kama mchwaaaa jmn khaaaaHata kula mnataka kutukataza???🙄🙄
Hata mimi nakerekwa sana na hii tabia na kuingiza kidole puani kila muda yani ndo siwez kabisa kuvumilia naweza kuhama nilipokaaKupenga penga mafuaa tania ianiudhi hii mimi
Kuna sehemu fulani nilienda kula chkula nikakuta mhudumu anaingiza kidole puani mara ka mara, nikashiba kabla ya kula nikaondoka zangu.Hata mimi nakerekwa sana na hii tabia na kuingiza kidole puani kila muda yani ndo siwez kabisa kuvumilia naweza kuhama nilipokaa
Kuna mdogo anguHata mimi nakerekwa sana na hii tabia na kuingiza kidole puani kila muda yani ndo siwez kabisa kuvumilia naweza kuhama nilipokaa
Sana tuNi shida sana mkuu. Kumbe hata wee umeona?
Hii umeitoa humu humu JF kuna mtu alishaihadithiaeeeh sasa kuna moja alikuwa anajifanya usalama mtaani kuna siku . katika harakati za kumwagia moyo nikamkuta kwenya bar moja akinengua.
tukakutana mtaani nikataka kumpaka akasema nikaushe ile yeye ndo kazj yake inampa ugari hapa mjini yeye sio hata usalama wa taifa
Roho mbaya ndio maisha mkuu haiwezekani utoke na mzigo wako nyumbani alafu uje unibebeshe mzigo wako, hiyo ni kero mkuu.Mhh! Roho mbaya hiyo mkuu 😀 😀 😀 😀