Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,972
Kama uko Arusha ntakuunganisha na fundi wangu. Anatengeneza printer na photocopier zote.Yaani niko discouraged sana na mafundi wa hapa mjini .sijawahi kumpata fundi wa printer akafanya kazi 100% ikafaa.Nina mashine yangu Ricoh mpaka Leo nimeiweka mafundi zaidi ya watatu wanakuja nawalipa lakini mwisho wa siku sipati solution zaidi ya kupoteza pesa
Ndo maana nilivyoona umeongea technical logical nikakukubali
*************&&&&&&&&&&***********&&&&&&&&&************&&&&&&&&&************
Kwa wanaohitaji ku-reset ink pad counter wasiliana namimi PM bei inategemea na model ya printer kuna za bure pia kama printer yako itaangukia kwenye kundi la bure nitakupa bila gharama.
Au ukikutana na hii message hapa chini nicheki,
View attachment 1223910
T774 code ya wino, ukiisha nenda ulizia wino namba hiyo, kuhusu matatizo ni swali gumu kidogo unaweza ukawa na printer tatu za aina moja ila watumiaji tofauti, na zinaweza kupata shida tofauti kulingana na utumizi.Naomba kuelimishwa kuhusu epson m100. Upatikanaji wa wino, matatizo yake na mazuri yake
Hapo kwenye teamviewer ni changamoto, wengi unakuta pc hazina access ya internet, halafu teamviewer yenyewe tena unaanza maelekezo kibao kumwelewesha 😂.Naungana na wadau wa uzi huu. Nakumbuka kwenye 2008-2013 (wakati huo niko shule) nilikuwa naona watu wanavyohangaika kupata solution za epson inkpad reset. Nabmafundi wa kibongo walivyo, unaambiwa nenda Nairobi. Baada ya mud nikajaribu kutafiti nikaona shida ilipo. Mteja wa kwanza alitokea humu jf ila nilifail kumsaidia maana na mimi nilikuwa third-party. Baada ya hapo nikakza msuli. Hatimaye leo hii hili tatizo hata itoke mashine mpya, natibu vizuuuri. Gharama kama alivyotangulia mdau hapo juu inatofautiana kwa kila model. Ukihitaji adjustment kutoka kwetu, tunakufanyia kazi nzima kupitia team viewer. Gharama ni nafuu na salama zaidi. Karibuni
IpoEpson L382 kama unayo
Hapo kwenye teamviewer ni changamoto, wengi unakuta pc hazina access ya internet, halafu teamviewer yenyewe tena unaanza maelekezo kibao kumwelewesha 😂.
Hapo kwenye teamviewer ni changamoto, wengi unakuta pc hazina access ya internet, halafu teamviewer yenyewe tena unaanza maelekezo kibao kumwelewesha 😂.
Hapo kwenye teamviewer ni changamoto, wengi unakuta pc hazina access ya internet, halafu teamviewer yenyewe tena unaanza maelekezo kibao kumwelewesha 😂.
Andaa pesa nikupe license generator, una generate license kwa computer moja tu, kwa hiyo client hawezi itumia kwa zaidi ya computer moja au kugawa kwa mtu mwingine ikafanya kazi hiyo adj prog.Hili nako ni kweli mkuu
Nenda Machinga Complex huwezi kukosa.Wakuu habari Nina Epson L 800 nilimuazima mdogo wangu apigie Kazi Sasa akasema inashida Ila nilivoenda kuitizama nimegundua panya wametafuna mikanda ya printer ambayo ilikua inasaidia kubeba taarifa za wino ili picha iweze kuchapwa niwapi nitapata msaada wa uhakika kufix tatizo langu? Aisee panya Ni waharibifu [emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia model namba kwanza.. Halafu angalia idadi ya copies ilizopiga.Naomba ushauri hii Canon inauzwa kwenye kampuni moja nilienda kibiashara ni used naweza kupata ngapi hapo kama nikiituma huko?
Samahani lakini kama nimedandia kwa mbele View attachment 1352039
Sent from my iPhone using Tapatalk
Swali lako kiongozi lipo too general, ila Epson ana vifaa vingi anauza tukija kwenye printer zipo model nyingi inategemea unataka kwa mahitaji yapi, na bei hutofautiana kulingana na mahitaji yako kama unahitaji ka printer kwa ajili ya nyumbani ku print doc zako chache obvious bei itakua ya chini tofauti na zenye utumizi heavy duty au professional based.
Dom kuna mafundi wapo karibu na Chef Asili unaweza pata spare.
Kama unataka kusave gharama nunua Epson zipo kuanzia laki 4 kwa mpya, wino za mitungi utatumia kwa muda mrefu.