Nimenunua Epson l 800 haina hata mwez mzee Sasa kununua nyingine itakua mtihaniKama unataka kusave gharama nunua Epson zipo kuanzia laki 4 kwa mpya, wino za mitungi utatumia kwa muda mrefu.
Kuna Hp pia ni nafuu zinauzwa kuanzia 120000 ila wino zake ni gharama na pia zina ujazo mdogo.
Nilimjibu mwingine sio wewe kiongozi.Nimenunua Epson l 800 haina hata mwez mzee Sasa kununua nyingine itakua mtihani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasalaam wakuu,
Uzi huu utumike kupashana habari kuhusu epson printers, iwe ushauri, au kutatua matatizo mbalimbali ya hizi printer, basi taarifa zake zikusanyike hapa kuwasaidia watumiaji wengi na wenye kuhitaji kununua wanaweza kujifunza mambo mbalimbali kupitia huu uzi.
Karibuni wataalam na watumiaji wote tuyajenge.
*************&&&&&&&&&&***********&&&&&&&&&************&&&&&&&&&************
Kwa wanaohitaji ku-reset ink pad counter wasiliana namimi PM bei inategemea na model ya printer kuna za bure pia kama printer yako itaangukia kwenye kundi la bure nitakupa bila gharama.
Au ukikutana na hii message hapa chini nicheki,
View attachment 1223909
Anza na L 382 BEI YAKE PIA NI RAFIKI SANAWakuu nahitaji kununua printer ya epson inayoweza kuprint, scan na copy kwa ajili ya stationery yangu ndogo...nina photocopy mashine kwa hiyo hii itakuwa ya kuprint coloured, ni model gani nzuri ambayo pia sio garama sana
Shida ya hii model ni kwamba inawahi kufa roller za kuvuta karatasi, na head yake si imara sana hasa ukiitumia kwa muda mrefu kwa kutolea plain paper.Anza na L 382 BEI YAKE PIA NI RAFIKI SANA
sent from toyota Allex
Dodoma MjiniUpo Dom maeneo gani
L382 roller zinawahi kuisha nadhani inategemea na aina ya karatasi, ila kuna L365 nilinunua used inapiga kazi nzuri kuliko L382 niliyonunua mpya.Shida ya hii model ni kwamba inawahi kufa roller za kuvuta karatasi, na head yake si imara sana hasa ukiitumia kwa muda mrefu kwa kutolea plain paper.
Ukitumia plain paper kwa wingi, head inachoka. Ukitumia gloss paper sana, roller zinakufa. Hizi ni normal use machines tofauti na matoleo mengine. Hii 382 ni sawa na 220 na 210.L382 roller zinawahi kuisha nadhani inategemea na aina ya karatasi, ila kuna L365 nilinunua used inapiga kazi nzuri kuliko L382 niliyonunua mpya.
Nakubaliana na wewe.Ukitumia plain paper kwa wingi, head inachoka. Ukitumia gloss paper sana, roller zinakufa. Hizi ni normal use machines tofauti na matoleo mengine. Hii 382 ni sawa na 220 na 210.
Dodoma Mjini
Nilizonazo ni za matumizi kiongozi, Pia ni bora ukanunua mpya, Wauzaji wa used wengi sio waaminifu, hawezi kukwambia matatizo au kama ilishapelekwa kwa fundi kwa tatizo lolote.Nipatie mawasiliano yako mkuu tufanye biashara ya Epson l382 kama upo nazo
Hizi zinafaa kwa matumizi machache sio ya heavy dutyUkitumia plain paper kwa wingi, head inachoka. Ukitumia gloss paper sana, roller zinakufa. Hizi ni normal use machines tofauti na matoleo mengine. Hii 382 ni sawa na 220 na 210.
Nilizonazo ni za matumizi kiongozi, Pia ni bora ukanunua mpya, Wauzaji wa used wengi sio waaminifu, hawezi kukwambia matatizo au kama ilishapelekwa kwa fundi kwa tatizo lolote.
Kuna duka fulani lilikua kariakoo Zawadi technology jina lao ila wamehamia posta, huwa nanunua printer kwao wana bei nzuri kidogo.
Kwa huku Dom bei za mpya ni ghali sana.
Kuna L805 nilinunua mpya 690,000/= Dsm, ila huku dom kuna maduka yanauza mpaka 1.3M hiyo printer unaweza kujionea mwenyewe.
Pia ni vema ukaingua kwenye printer properties alaf select unachotaka kuprint kama ni document iwe ni standard quality na kama ni picha bas chagua quality iliyo juu itasaidia mimi ndo nafanya hivyo mara kwa mara ikitokea hivyo hasa ninapoprint passport na imesaidiaKwa wataalam na mafundi nina shida moja, kuna hii printer Epson L805 ina tatizo la horizontal banding au lugha ingine inaprint ila kuna vistari vidogo vidogo hutokea, nilifanya nozzle cleaning ila haikusaidia kitu, nikaja kuangalia encoder strip ilikua imechafuka na wino nikaja kununua mpya na kubadili ila tatizo halijaisha.
Msaada kipi cha ziada nitatue tatizo hili wakuu.
View attachment 1101559View attachment 1101562
L382 iko na huo ujumbe
Wasalaam wakuu,
Uzi huu utumike kupashana habari kuhusu epson printers, iwe ushauri, au kutatua matatizo mbalimbali ya hizi printer, basi taarifa zake zikusanyike hapa kuwasaidia watumiaji wengi na wenye kuhitaji kununua wanaweza kujifunza mambo mbalimbali kupitia huu uzi.
Karibuni wataalam na watumiaji wote tuyajenge.
*************&&&&&&&&&&***********&&&&&&&&&************&&&&&&&&&************
Kwa wanaohitaji ku-reset ink pad counter wasiliana namimi PM bei inategemea na model ya printer kuna za bure pia kama printer yako itaangukia kwenye kundi la bure nitakupa bila gharama.
Au ukikutana na hii message hapa chini nicheki,
View attachment 1223909
Umeshafanikiwa?L382 iko na huo ujumbe
L382 inatoa na copy? Au inaprint tu.Epson L382 mpaka picha inaprint, bei kuanzia 380k