Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ilikuwa ni kamzozo ukijumlisha na njaa na yale madawa machoni .Vijana tulishusha silaha chini wenyewe[emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ilikuwa ni kamzozo ukijumlisha na njaa na yale madawa machoni .Vijana tulishusha silaha chini wenyewe[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha.. nikuulize kwani kuna waganga wakweli?Mm mwenyewe ni mganga mstaafu.
Ndio maana nawaibia siri za jeshi.
bwana wee waganga wapo. mimi nilkuwa siamini haya mambo. Dah Tanga nikiboko aisee. kuna mwamba alikuwa kampuni flani siwajua vijana akapiga hela ili alebata na kuvimba mjini. Jamaa wakashutka mchezo wakamla barua ya kufukuzwa kazi. Jamaa anajamaa ake Kushoto akamwambia njoo na hiyo barua, akampeleka kwa mzee mmoja aisee baada ya wiki jamaa anapigiwa cm arudi kazini mpaka leo hii jamaa yupo anadunda kazini. Kuna mzee yeye kazi yake ni kukupiga shakizi yaaani unapigwa kitu unaenda jiua. Kuna mwingine yupo kama waenda bumbuli naskia huyo na balaaaa na ahitaji pesa nyingi. Achaneni na waganga wa mjini hao matapeli na kuwala madada wanaoenda kuwaloga mabwana zao
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Mbona unajishitukia mwenyewe sasa?Waganga wa kweli nenda Bush ndani ndani kuna waganga nguli huko sio huku town hata miti ya Dawa hakuna unalishwa tu mamichoro au Mavi ya kenge, ushahidi ninao kuna jamaa katumia nguvu za kiganga kutoboa na katoboa mganga alimtoa Bush huko akaja nae town kaloga weee wiki nzima analoga tu kila njiapanda fanya sana mambo meusi na mekundu na nasema kaloga sababu kuna mambo ya kiganga alikua anayafanya hayana tofauti na kulogaloga, sasa hivi maisha mseleleko
Wale wa kufuatana PM sitaki mje PM simjui mganga alipo Ila namjua jamaa alietoboa kupitia mganga na huyo jamaa sio Mimi na hata mkisema niwapeleke mumuulize alipo mganga sitaki pia
Papaaa MUTOMBAJIanayetaka wa kweli aandae 20000 na kuja Pm
Kuna vizika wazima unaongea from know where ushawai tembelea kigoma na wilaya zake ??! Unajua kitu kinaitwa kamchapeMaisha magumu na ukosefu wa elimu bora ndo huleta mambo ya uganga na uchawi kwenye kichwa cha mtu , lakini kiuhalisia hivo vitu havipo,ni imagination ya kutafuta faraja feki.