When am down she cheers me up... mahondaw wangu...
When am sick she looks after me ... mahondaw
When am sad, she comforts me... mahondaw wangu...
When am super excited she gives me all whats sweet... mahondaw...
In good times and bad times she shoulder to shoulder with me...
I love her... Yes i love her... I love mahondaw more than anything...
Cc: mahondaw
Kweli kabisa mtoa post majoto maana hata maandiko yanasema chuma hunoa chuma.
Ukifikiria maandiko kwamba hayasemi maishayatakuwa mteremko, lakini Mungu anatupa ahadi madhubuti sana ambazo ni kweli ubinadamu mara nyingi unatuzidi nguvu na tunashindwa kuzizingatia. na hapo ndipo suala la kutiana moyo linapoingia.
Lakini hiki ndicho kipimo ambacho hata hatujawahi kukifikia cha ugumu na uzito ambao anatuponya nao.
Zaburi 86
1 Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.
2 Kwa hiyo hatutaogopa ijapobadilika nchi, Ijapotetemeka milima moyoni mwa bahari.
3 Maji yake yajapovuma na kuumuka, Ijapopepesuka milima kwa kiburi chake.
Mtihani mkubwa kabisa uko kwenye kuendelea kushikilia (kuamini) kwamba ananivusha, ananivusha, ananivusha.
Hapo tu.
1Petro 5:6-7
Fungu la mama yangu hili dah!Isaya 41
6. Wakasaidiana kila mtu na mwenzake, kila mtu akamwambia ndugu yake uwe na moyo mkuu
Jamani tusaidianeee hata kuchangiana pesa za kusomesha watoto/ndugu zetu. Kipindi tunachoishi ni sheeeedah
Haya mawili yamenifanya nikue kiimani maishani7. Seremala akamtia moyo mfua dhahabu, na yeye alainishaye kwa nyundo akamhimiza yule apigaye fuawe, akiisifu kazi ya kuunga akisema, Ni kazi njema; naye akaikaza kwa misumari isitikisike.
Tutiane moyoooooo
Isaya 41
6. Wakasaidiana kila mtu na mwenzake, kila mtu akamwambia ndugu yake uwe na moyo mkuu
Jamani tusaidianeee hata kuchangiana pesa za kusomesha watoto/ndugu zetu. Kipindi tunachoishi ni sheeeedah
Amina nawe pia uwe na weekend yenye baraka.Usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
Tazama wote walioona hasira juu yako watataharika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia.
Kwa maana mimi, Bwana Mungu wako nitakushika mokono wake wa kuume, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia@.
Muianze wekend salama wapendwa BlessedHope JICHO TAI Joseverest kampelewele miminimkulimaakachekasana Mr Miller Perfectz Smart911 Translator Biobenga cyrustheruler