Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,404
Biblia ina tumaini lote...
Tumaini jema katika kitabu cha Mashimo ya Mfalme Sulemani habari za faraja walizokua wanasimuliana katika njia ya jangwa pasina tone la maji kutafuta almasi kwamba maisha ni nini basi zaidi ya mbegu iliyopandwa ichanue izae ife na kupeperushwa mbali na upepo? kila jambo limeshapangwa sisi tunapaswa kuishi kutafuta kidogo na kuridhika tukisubiri kwa furaha ukomo mbegu iliyopandwa.
Tumaini jema katika kitabu cha Mashimo ya Mfalme Sulemani habari za faraja walizokua wanasimuliana katika njia ya jangwa pasina tone la maji kutafuta almasi kwamba maisha ni nini basi zaidi ya mbegu iliyopandwa ichanue izae ife na kupeperushwa mbali na upepo? kila jambo limeshapangwa sisi tunapaswa kuishi kutafuta kidogo na kuridhika tukisubiri kwa furaha ukomo mbegu iliyopandwa.